Sasa hapo ndo Mgao utaisha. Bila hivyo mtamlaumu tu Waziri. Ukimsoma hapa kwa Utulivu

Mwananchi wameomba Radhi Kwa hii habari Kwa kusema kuwa wamepotosha kauli ya waziri
 
mgao utaisha siku muirani akifariki …
 
Historia ni mwalimu mkuu..iko siku hakutakuwa na mahali pa kuficha haya yote...tusubiri tu 2060 kila kitu wazi.
 
kwahyo mgao tupo naao sana wadau.... solution ni waliofeli kwa miaka 60 ya kuitawala nchi watupishe, tuanze kutoa ajira za miaka mi5, mi5 ukifeli mitano imekutosha tupishe waje wengine... ila bila katiba mpya tutaendelea kuburuzwa na ccm mpaka mapinduzi ya kijeshi 2045
 
Jerry Rawlings wa Tanzania anahitajika awakusanye wote hawa longo longo na awapige risasi wote hadhari nchi irudi kwenye mstari, sijui Gen mkunda na vijana wake wataamka lini toka huko makambini wawe kweli JWTZ…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…