DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Behewa moja litakua ni Power bankKama umeme wetu unategemea maji kwanini tuwekeze matrilioni ya pesa kujenga SGR?
Haya yatakuwa matumizi mabaya ya fedha. Pelekeni pesa hizo kwenye miradi ya kimkakati.
[emoji23][emoji23][emoji23] kudra za mungu [emoji23][emoji23][emoji23]Mama anasema mgao wa umeme ni kudra ya mwenyezi MUNGU..
Pengine treni zitatembea Kwa miujiza ya MUNGU
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dahhh!!!!Behewa moja litakua ni Power bank
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4]dahhhMama anasema mgao wa umeme ni kudra ya mwenyezi MUNGU..
Pengine treni zitatembea Kwa miujiza ya MUNGU
🤣🤣🤣🤣 punguza ukatuni we mzeeMama anasema mgao wa umeme ni kudra ya mwenyezi MUNGU..
Pengine treni zitatembea Kwa miujiza ya MUNGU
SGR ya Kenya inatumia dizeli. Hamieni huko mtapewa County yenu chini ya Gavana Heche.Kama umeme wetu unategemea maji kwanini tuwekeze matrilioni ya pesa kujenga SGR?
Haya yatakuwa matumizi mabaya ya fedha. Pelekeni pesa hizo kwenye miradi ya kimkakati.
Factors affecting transportationKama umeme wetu unategemea maji kwanini tuwekeze matrilioni ya pesa kujenga SGR?
Haya yatakuwa matumizi mabaya ya fedha. Pelekeni pesa hizo kwenye miradi ya kimkakati.