Sasa hivi kumkopa au kumkopesha mtu ni kutaka kuvunja urafiki

Sasa hivi kumkopa au kumkopesha mtu ni kutaka kuvunja urafiki

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Wajameni, hali ni ngumu.
Nina ndugu, jamaa na marafiki amabo kila kukicha ni kutaka kunikopa.
Tatizo ni moja tu, ukimkopesha mtu sasa hivi stress inahamia kwako.

Kumfuatilia mtu uliyemkopesah ni shughuli pevu.
Mara simu haipatikani, amekublock!

Sasa tufanyeje wajameni , tuingie ugomvi wa kutomkopesha mtu, tuanze uadui, au umkopeshe mtu na asilipe tuanze uadui?
Na hapo si kwamba mimi sina shida, ila ni kiongozi wa ukoo fulani wenye ng'ombe wengi!!!
 
Sheria ni moja tu tuliokubaliana UWABATA ( umoja wa wanaume bahili Tanzania)

Sheria ya kwanza Hakuna kukopesha

Sheria ya pili refer to sheria ya kwanza

3. Kama Ni mtu wa muhimu Basi mpe 1/3 ya pesa

Mfano: Kama mtu akikukopa Tsh. 20000 ......Basi mpe 3000
 
Kuna mchiz wangu tumejuana since form 1
Alilia shida, nikamtoa 100k

Sasa navyopigishwa chenga[emoji119]. Uzuri wake najua tu atanilipa

Nimepanga akinilipa tu, namchana live. Ushikaji uendelee ila nisisikie habari za kuazimana pesa
 
Wajameni, hali ni ngumu.
Nina ndugu, jamaa na marafiki amabo kila kukicha ni kutaka kunikopa.
Tatizo ni moja tu, ukimkopesha mtu sasa hivi stress inahamia kwako.

Kumfuatilia mtu uliyemkopesah ni shughuli pevu.
Mara simu haipatikani, amekublock!

Sasa tufanyeje wajameni , tuingie ugomvi wa kutomkopesha mtu, tuanze uadui, au umkpeshe mtu na asilipe tuanze uadui?
Na hapo si kwamba mimi sina shida, ila ni kiongozi wa ukoo fulani wenye ng'ombe wengi!!!
Hayajakukuta tu,sio kila mtu anataka kukopa kusumbua watu,kuna muda mambo yanakuzidi benki hukopesheki,na una ndugu na jamaa,kwa nn usikope
 
Wajameni, hali ni ngumu.
Nina ndugu, jamaa na marafiki amabo kila kukicha ni kutaka kunikopa.
Tatizo ni moja tu, ukimkopesha mtu sasa hivi stress inahamia kwako.

Kumfuatilia mtu uliyemkopesah ni shughuli pevu.
Mara simu haipatikani, amekublock!

Sasa tufanyeje wajameni , tuingie ugomvi wa kutomkopesha mtu, tuanze uadui, au umkpeshe mtu na asilipe tuanze uadui?
Na hapo si kwamba mimi sina shida, ila ni kiongozi wa ukoo fulani wenye ng'ombe wengi!!!
Mkopeshe Mkinga ni mwaminifu sana, kopesha mchaga ulie
 
Hayajakukuta tu,sio kila mtu anataka kukopa kusumbua watu,kuna muda mambo yanakuzidi benki hukopesheki,na una ndugu na jamaa,kwa nn usikope
Ukikopa lipa basi siyo unakopa unaanza tena wewe kukimbia wakati aliyekukopesha hakukukimbia ulivyomlilia shida.

Mimi mtu akinifata kunikopa ile atakayosema kama ni 100K nampa 50K arudishe asirudishe wala simuulizi so atakuwa ameshajitoa mwenyewe kwenye mzunguko wangu,ndugu zangu wengi wanajijua hawana tena sifa ya kukopesheka kwangu maana kidogo kidogo nilizowapa wakiahidi kurudisha hawakurudisha kama kuna ambae angekuja kunitia hasara ya 500K alishajikimbiza na 70K au 50K.
 
Wajameni, hali ni ngumu.
Nina ndugu, jamaa na marafiki amabo kila kukicha ni kutaka kunikopa.
Tatizo ni moja tu, ukimkopesha mtu sasa hivi stress inahamia kwako.

Kumfuatilia mtu uliyemkopesah ni shughuli pevu.
Mara simu haipatikani, amekublock!

Sasa tufanyeje wajameni , tuingie ugomvi wa kutomkopesha mtu, tuanze uadui, au umkpeshe mtu na asilipe tuanze uadui?
Na hapo si kwamba mimi sina shida, ila ni kiongozi wa ukoo fulani wenye ng'ombe wengi!!!
sheria ya kumkopesha mtu cha kwanza akikisha anayo kazi ya kujiingizia kipato... cha pili akikisha hauna matatizo ya presha maana usipokuw makn unayemdai atakuua kwa presha
 
sheria ya kumkopesha mtu cha kwanza akikisha anayo kazi ya kujiingizia kipato... cha pili akikisha hauna matatizo ya presha maana usipokuw makn unayemdai atakuua kwa presha
Katika kudai ulichomkopesha mtu ndio kuna kero kubwa.
Hapo na urafiki unapotea kabisa.
Uliye mkopesha anaweza kukublock, au kubadilisha kabisa sim card.
Ukimfungia safari, utapewa stori hadi utakaa chini, mara nimefiwa, nimepata ajali, nimeibiwa ile hela, basi utopolo mtupu hadi unajilaumu kumkopesha.
 
Wajameni, hali ni ngumu.
Nina ndugu, jamaa na marafiki amabo kila kukicha ni kutaka kunikopa.
Tatizo ni moja tu, ukimkopesha mtu sasa hivi stress inahamia kwako.

Kumfuatilia mtu uliyemkopesah ni shughuli pevu.
Mara simu haipatikani, amekublock!

Sasa tufanyeje wajameni , tuingie ugomvi wa kutomkopesha mtu, tuanze uadui, au umkpeshe mtu na asilipe tuanze uadui?
Na hapo si kwamba mimi sina shida, ila ni kiongozi wa ukoo fulani wenye ng'ombe wengi!!!
Umenena

Nina rafiki anayenisema vibaya kwa majirani kisa namdai 400K huu ni mwezi wa 7 tangu akope
 
Hayajakukuta tu,sio kila mtu anataka kukopa kusumbua watu,kuna muda mambo yanakuzidi benki hukopesheki,na una ndugu na jamaa,kwa nn usikope
Mkuu mtu wa aina hiyo siyo wa kumkopesha.
Benki yenyewe imemshindwa itakuwa wewe?
Ukimpa fedha basi iwe mchango tu ambao ujue hautarudi.
 
Nyinyi nyote bado hamjakutana na ninayokutananayo mimi.

Ninafokewa na kutishiwa na kujibiwa kibabe. Juzi namuuliza mtu hela yangu ananijibu "wewe usinizoee." Teh teh...
Halafu ni dereva tu wa ofisi flani ndo ananiletea kibesi namna hiyo. Mwingine ni mfanya biashara, ana kistationery chake pale galant conner.

Ila kuwa na familia kunakuja na mengi, maana wakati wa ujana nikiwa sina familia sikuwahi kua mnyonge namna hii. Saizi nikiwaza kufanya tukio nikiviona vitoto vyangu najikuta nawaza "what if's" nyingi mpaka naghairi.
 
Kuna huyu mmoja hapa, huwa anakopa hela lakini wakati wa kulipa anakulipa mkiwa bar, sasa unashindwa kumuelewa kwanini anakulipa bar? Na akikulipa hiyo ela lazima muitumie hapo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ha ha ha
Anakulipa , kwake deni linakuwa na added value ya kamnywesho!
 
Back
Top Bottom