Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wajameni, hali ni ngumu.
Nina ndugu, jamaa na marafiki amabo kila kukicha ni kutaka kunikopa.
Tatizo ni moja tu, ukimkopesha mtu sasa hivi stress inahamia kwako.
Kumfuatilia mtu uliyemkopesah ni shughuli pevu.
Mara simu haipatikani, amekublock!
Sasa tufanyeje wajameni , tuingie ugomvi wa kutomkopesha mtu, tuanze uadui, au umkopeshe mtu na asilipe tuanze uadui?
Na hapo si kwamba mimi sina shida, ila ni kiongozi wa ukoo fulani wenye ng'ombe wengi!!!