moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 931
- 940
Mwanangu ucmalumu mchizi na endelea kumpiga jeki! Mkuu hali ni mbaya saaaan amin kwambaKuna mchiz wangu tumejuana since form 1
Alilia shida, nikamtoa 100k
Sasa navyopigishwa chenga[emoji119]. Uzuri wake najua tu atanilipa
Nimepanga akinilipa tu, namchana live. Ushikaji uendelee ila nisisikie habari za kuazimana pesa