Sasa hivi kwanini kila mtu au asilimia kubwa wamekuwa mitume au Mapasta au watumishi? Je, ni ugumu wa maisha!

Sasa hivi kwanini kila mtu au asilimia kubwa wamekuwa mitume au Mapasta au watumishi? Je, ni ugumu wa maisha!

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Leo katika pita pita zangu kila nilipokuwa nakaa tu anatokea kijana eti anataka aniombee yeye ni pasta. Sasa Mimi nilikuwa nakunali tu ili kuwachora.

Leo nimeombewa kitaa na zaidi ya mapasta watano. Makanisa nayo yamekuwa utitiri huku mtaani kiasi ambacho nchi imekosa uelekeo kila mtu anaona upasta ndo njia rahisi ya kunikusha yia pesa.

Huku mtaani Hali ni mbaya kila nyumba kanisa linafunguliwa. Imeefika hatua hata waumini Ni kunyang'anyana Tena na matusi juu.

Kuna kanisa hapa jamaa aliaminiwa kama pasta chini ya fpct baada ya kuhubiri tu mda mrefu akarigeuza kuwa la kwake na nembo ya fpct akatoa ili awe mmiriki peke yake. Juzi maaskofu wa fpct wamemshukia Kama mwewe na ngumu zimepigwa kanisani.

Sijui huyu mungu kweli yupo au Ni dhana tu
 
Leo katika pita pita zangu kila nilipokuwa nakaa tu anatokea kijana eti anataka aniombee yeye Ni pasta. Sasa Mimi nilikuwa nakunali tu ili kuwachora.

Leo nimeombewa kitaa na zaidi ya mapasta watano. Makanisa nayo yamekuwa utitiri huku mtaani kiasi ambacho nchi imekosa uelekeo kila mtu anaona upasta ndo njia rahisi ya kunikusha yia pesa.

Huku mtaani Hali ni mbaya kila nyumba kanisa linafunguliwa. Imeefika hatua hata waumini Ni kunyang'anyana Tena na matusi juu.

Kuna kanisa hapa jamaa aliaminiwa Kama pasta chini ya fpct baada ya kuhubiri tu mda mrefu akarigeuza kuwa la kwake na nembo ya fpct akatoa ili awe mmiriki peke yake. Juzi maaskofu wa fpct wamemshukia Kama mwewe na ngumu zimepigwa kanisani.

Sijui huyu mungu kweli yupo au Ni dhana tu
Wengine mi nadhani ni waganga wa kienyeji, wanatafuta wateja. Maanake baadhi yao wanayoyafanya ni kama uganga. Unaweza kutabiriwa mambo ambayo hayapo. Na hutakiwi kubisha wala kukataa. Ukikataa watasema ni pepo.
Yaani, kazi ipo!
 
Acha watu watumie vizuri fursa. Maana hakuna namna.
 
Yaani ukitembelea mitaa ambazo hujafika kwa miezi kazaa makanisa yanajengwa kila siku tena kwenye makazi ya watu kabisa. Hii ni hatari sasa
 
Leo katika pita pita zangu kila nilipokuwa nakaa tu anatokea kijana eti anataka aniombee yeye ni pasta. Sasa Mimi nilikuwa nakunali tu ili kuwachora.

Leo nimeombewa kitaa na zaidi ya mapasta watano. Makanisa nayo yamekuwa utitiri huku mtaani kiasi ambacho nchi imekosa uelekeo kila mtu anaona upasta ndo njia rahisi ya kunikusha yia pesa.

Huku mtaani Hali ni mbaya kila nyumba kanisa linafunguliwa. Imeefika hatua hata waumini Ni kunyang'anyana Tena na matusi juu.

Kuna kanisa hapa jamaa aliaminiwa kama pasta chini ya fpct baada ya kuhubiri tu mda mrefu akarigeuza kuwa la kwake na nembo ya fpct akatoa ili awe mmiriki peke yake. Juzi maaskofu wa fpct wamemshukia Kama mwewe na ngumu zimepigwa kanisani.

Sijui huyu mungu kweli yupo au Ni dhana tu
Sio karibia kila mtu kwakuwa hawazidi hata elfu 90 kati ya watanganyika million 60
 
Leo katika pita pita zangu kila nilipokuwa nakaa tu anatokea kijana eti anataka aniombee yeye ni pasta. Sasa Mimi nilikuwa nakunali tu ili kuwachora.

Leo nimeombewa kitaa na zaidi ya mapasta watano. Makanisa nayo yamekuwa utitiri huku mtaani kiasi ambacho nchi imekosa uelekeo kila mtu anaona upasta ndo njia rahisi ya kunikusha yia pesa.

Huku mtaani Hali ni mbaya kila nyumba kanisa linafunguliwa. Imeefika hatua hata waumini Ni kunyang'anyana Tena na matusi juu.

Kuna kanisa hapa jamaa aliaminiwa kama pasta chini ya fpct baada ya kuhubiri tu mda mrefu akarigeuza kuwa la kwake na nembo ya fpct akatoa ili awe mmiriki peke yake. Juzi maaskofu wa fpct wamemshukia Kama mwewe na ngumu zimepigwa kanisani.

Sijui huyu mungu kweli yupo au Ni dhana tu
Umechukua idadi ya watanzania milioni 60 ukaona mitume, wachungaji na manabii ni wengi? Wako wangapi?
 
Kwani shida nini watu wakimuabudu Mungu?kwanini watu wakimuabudu Mungu wewe unachukia? Kwani wewe ni shetani?
 
Back
Top Bottom