BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Muandishi, hongera kwa kuwa mkweli,umeandika Jambo lenue mantiki Sana,tatizo ni kwamba baadhi ya watu humu wanakupinga,Ila moyoni wanakubali Kama ni Wana CCM wenye moyo wa dhati,Ila Kama wamekaa kishabiki Sana hawawezi kumuelewa.