makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hapo umenena, oneman show hawezi kufika kila sehemu. ukilegeza tu watu wanaacha kwani siamini km TRA hawafiki kukagua,Naomba basi nichangie haya!
Hii haiko kwenye mafuta tuu bali kuna mabadiliko kila mahali, chanya na hasi..na hili ndio tatizo la kuwa na oneman show! Akiondoka mambo yanaparaganyika.. Hili si tatizo la mtu mmoja bali ni udhaifu wa kanuni na sheria zetu tulizojitungia wenyewe
Wanasiasa ni wapitaji tuu lakini sheria na kanuni zikiwa nzuri hutaeza kuona mtikisiko kukiwa na mabadilko
Halafu unakuta jinga Kama Hili barabara ya mtaani kwake ikiharibika linalalamika why haikarabatiwi.Jibu la kipumbavu kabisa!
acha ujinga hiyo kodi umeiona wapiHata wewe yanakuhusu kwa sababu kodi inarudi kukusaidia wewe na ukoo wako.
Risiti inakusaidia nini?Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Ninyi Mataga,Hata wewe yanakuhusu kwa sababu kodi inarudi kukusaidia wewe na ukoo wako.
"Kodi za nguvu hatutaki, mwisho wa mwaka wata leta tu wenyewe, tukitumia nguvu wataondoka na kufunga biashara"Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Hiyo post yako inausukuma,Acheni ujinga siyo kila anaeleata mada kumsaidia mama anakuwa msukuma, hapa tunataka mapato siyo issue ya usukuma hapa. acheni kuleta cheap reasoning.
Kwa heshima yako hapa jukwaani....ungepaswa jibu lako liambatane na maelezo ili watu wanaojifunza kupitia wewe hapa jamvini waondokane na ukakasi huo..........suala la makampuni kukwepa kodi sio la kisiasa bali ni la waTanzania wote kwa kuwa Tanzania ni ya wote...........wanaoshabikia ukwepaji wa kodi ndio hao hao watakaolalamikia ubovu wa miundominu na huduma duni za afya kwenye vituo vya serikali.......huu ni UNAFIKI wa waTanzania...Ungeuliza kwanini kwanza kabla hujafikia huo uamuzi
Hilo jibu langu lina mengi ndani yake..
Umemtendea haki sana Alhaji Malik El-Shabazz kwenye DP.Kwa heshima yako hapa jukwaani....ungepaswa jibu lako liambatane na maelezo ili watu wanaojifunza kupitia wewe hapa jamvini waondokane na ukakasi huo..........suala la makampuni kukwepa kodi sio la kisiasa bali ni la waTanzania wote kwa kuwa Tanzania ni ya wote...........wanaoshabikia ukwepaji wa kodi ndio hao hao watakaolalamikia ubovu wa miundominu na huduma duni za afya kwenye vituo vya serikali.......huu ni UNAFIKI wa waTanzania...
Tulia hela irudishwe mtaani kama wasemavyo bavichaTangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO