Sasa inakuwa rasmi mafuta bila stakabadhi

Sasa inakuwa rasmi mafuta bila stakabadhi

Sidhani kama kuna ukweli kweli hili...

Maana zile machine bila mfumo wa receipt kufanya kazi hazitoi mafuta... wala wazichezee mashine...
 
Sidhani kama kuna ukweli kweli hili...

Maana zile machine bila mfumo wa receipt kufanya kazi hazitoi mafuta... wala wazichezee mashine...
Ohhhh unaishi nchi ndg yangu, hii ni bongo. km ni kweli basi TRA wana husika ktk hujuma hii.
 
Poleni wanao mshambulia Mama Samia, si lengo la kuleta mada hii, bali ni kutaka kutoa taarifa kwani mama km kiongozi hawezi kujua kila kitu bila raia wema kumsaidia. Sina uhakika km kuna kiongozi hapendi kukusanya kodi. sema watu wameanza ku relax
 
Back
Top Bottom