Ni kweli kabisa. Vituo vingi vya mafuta hawatoi risiti siku hizi. Waziri wa fedha, TRA naona mmejitoa ktk jukumu lenu la kuwaangalia hawa jamaa. Au mnataka Mama aonekane hafai. Kwa kifupi ni hujuma inayoendelea Sasa hivi.Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO