Sasa kama 'Aliyemroga' vibaya nae mmeshamuacha na Watu wote wa Mpira tunamjua, kwanini Kramo ambaye angetufaa nae mmemuacha?

Sasa kama 'Aliyemroga' vibaya nae mmeshamuacha na Watu wote wa Mpira tunamjua, kwanini Kramo ambaye angetufaa nae mmemuacha?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Baada ya kumalizana na Simba SC, winga Aubin Kramo inadaiwa yupo hatua za mwisho kurejea Asec Mimosas ya Ivory Coast aliyokuwa akiichezea kabla ya kusajiliwa Msimbazi msimu uliopita.

Inadaiwa kuwa mabosi wa Asec ameanzisha mazungumzo na Krabo baada ya kusikia anaachwa, licha ya awali kudaiwa huenda angeenda klabu za Afrika Kaskazini na dili hilo lipo pazuri.

Chanzo: mwanaspoti_tz

Yaani Mkongwe Upara wa Jirani na Kigoma alimtesa sana Kramo wa Watu kwa kumuibia Jezi yake ya Juu na Njumu.
 
Baada ya kumalizana na Simba SC, winga Aubin Kramo inadaiwa yupo hatua za mwisho kurejea Asec Mimosas ya Ivory Coast aliyokuwa akiichezea kabla ya kusajiliwa Msimbazi msimu uliopita.

Inadaiwa kuwa mabosi wa Asec ameanzisha mazungumzo na Krabo baada ya kusikia anaachwa, licha ya awali kudaiwa huenda angeenda klabu za Afrika Kaskazini na dili hilo lipo pazuri.

Chanzo: mwanaspoti_tz

Yaani Mkongwe Upara wa Jirani na Kigoma alimtesa sana Kramo wa Watu kwa kumuibia Jezi yake ya Juu na Njumu.
Kaptein mstaafu staili za kuiba jezi za wachezaji hatari kwake mfano mugalu,bareke,phiri n.k huifanya kwa kushirikiana na watunza vifaa habari hizi tulipewa na kocha wa zamani wa makipa wa Simba ambae maskani yake ni kwa Heri Mzozo maeneo ya friends corner Kagera.
 
Back
Top Bottom