HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,197
The word from Magogoni is Kamanda hataki mambo ya waste ya kusindikizwa na na kupokelewa na msururu wa waheshimiwa ambao wanaacha kazi kumsindikiza na kumpokea.
Hoja yake ni kuwa kuna kuwa huu msururu unasababisha utendaji wa kazi wa serikali na maendeleo kwa nchi na jiji la Dar es salaam kutakana na foleni na waste of time kwa watu
On average Kamanda kila aki safiri kwenda au kurudi mikoani au nje ya nchi husindikizwa na wafuatao apart from team ya watu wake ambao si chini ya watu 30:
Makamu wa Rais na team yake ya watu si chini ya watu 20
Waziri Mkuu na team yake ya watu si chini ya 20
Mkuu wa Usalama wa Taifa na wasaidizi wake si chini ya 10
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na wasaidizi wake si chini ya 8
Mkuu wa majeshi na wasaidizi wake si chini ya 10
Sheikh mkuu wa BAKWATA huyu wa na wapambe wake 3 pamoja na derive
Mkuu wa Wilaya ya Ilala na wapambe wake ambao si chini ya 5
Meya wa Dar es salaam na wapambe wake si chini ya 8
Mkuu wa Polisi wa Kanda na wasaidizi wake si chini ya 8
na wengine wengi ambao siwajui ambao wanatumia gharama za kila namna
Hoja yake ni kuwa kuna kuwa huu msururu unasababisha utendaji wa kazi wa serikali na maendeleo kwa nchi na jiji la Dar es salaam kutakana na foleni na waste of time kwa watu
On average Kamanda kila aki safiri kwenda au kurudi mikoani au nje ya nchi husindikizwa na wafuatao apart from team ya watu wake ambao si chini ya watu 30:
Makamu wa Rais na team yake ya watu si chini ya watu 20
Waziri Mkuu na team yake ya watu si chini ya 20
Mkuu wa Usalama wa Taifa na wasaidizi wake si chini ya 10
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na wasaidizi wake si chini ya 8
Mkuu wa majeshi na wasaidizi wake si chini ya 10
Sheikh mkuu wa BAKWATA huyu wa na wapambe wake 3 pamoja na derive
Mkuu wa Wilaya ya Ilala na wapambe wake ambao si chini ya 5
Meya wa Dar es salaam na wapambe wake si chini ya 8
Mkuu wa Polisi wa Kanda na wasaidizi wake si chini ya 8
na wengine wengi ambao siwajui ambao wanatumia gharama za kila namna