Tetesi: Sasa Magufuli hataki kusindikizwa na kupokelewa na msururu wa watu

Tetesi: Sasa Magufuli hataki kusindikizwa na kupokelewa na msururu wa watu

Mbowe sindio bwanawako anayekula ruzuku ya chama. Hata ukitoa povu la kiwango cha omo bado hujajb swali bwana wako mbowe kashawahi kuonyesha salary sleep anayokula ruzuku ya chama?
go back to school jackass!!!
 
Amen, haya ndiyo na maneno na matendo, ulikuwa ni ujinga usiokifani, safi JPM
 
Hapo na mimi sijaelewa. Kwani BAKWATA ni idara ya serikali?!

Hako kabendera ketu kanaweza kuthibitisha hili..........na inasemwa sana pia juu ya uhusiano wa BAKWATA na serikali tena na Waislamu wenyewe

FullSizeRender_2.jpg
 
Sisi Bakwata tumesakamwa sana hasa baada ya Makonda kutupatia fedha!
Na Magu kutujengea msikiti!
Hatuwezi vumilia wivu,na. nyie upande wa pili si mngemwomba kikwete awajengee kanisa kubwa
Well said mkuu yaani huo ni wivu wa dhahiri kabisa ,roho zinawauma sana hawa majamaa
 
pigo kwa bashite hili, maana hii ndio kiki pekee iliyobakia
 
Back
Top Bottom