Tetesi: Sasa Magufuli hataki kusindikizwa na kupokelewa na msururu wa watu

Tetesi: Sasa Magufuli hataki kusindikizwa na kupokelewa na msururu wa watu

Miezi inakatika tangu alipoahidi kuiweka hadharani Mwezi April mwaka huu. Milioni 36 mkuu kuiweka hadharani ni kazi mno! huku akituzuga Watanzania kwamba kuna watu wanaishi kama malaika sasa anataka waishi kama mashetani lakini mwenyewe kauchuna kimya na mshahara wake zaidi ya milioni 400 kwa mwaka huku akilipiwa kila kitu na walipa kodi.

atuonyeshe salary slip yake kama alivyoahidi,aache blah blah
 
umesahau wake zao na team zao za kuwasindikiza
 
Kweli jamaa hakosekani sana kwenye matukio labda ofisi yake iko karibu na pale. Jana pia nimemuona kwenye tv wakati wale sijui wanaitwa mabora walipoenda kukabidhi cheki za msaada wa tetemeko kule Bukoba.
mkuu bohora ni dhehebu tu la kiislamu kama ilivyo dhehebu kama protestant kwa wakristo.

Na kwakuwa yeye ni shehe wa mkoa huo,kuonekana hapo kwa mabohora sio ajabu
 
mkuu bohora ni dhehebu tu la kiislamu kama ilivyo dhehebu kama protestant kwa wakristo.

Na kwakuwa yeye ni shehe wa mkoa huo,kuonekana hapo kwa mabohora sio ajabu
Kwahiyo liko chini ya BAKWATA?
 
14.jpg
 
The word from Magogoni is Kamanda hataki mambo ya waste ya kusindikizwa na na kupokelewa na msururu wa waheshimiwa ambao wanaacha kazi kumsindikiza na kumpokea.

Hoja yake ni kuwa kuna kuwa huu msururu unasababisha utendaji wa kazi wa serikali na maendeleo kwa nchi na jiji la Dar es salaam kutakana na foleni na waste of time kwa watu

On average Kamanda kila aki safiri kwenda au kurudi mikoani au nje ya nchi husindikizwa na wafuatao apart from team ya watu wake ambao si chini ya watu 30:

Makamu wa Rais na team yake ya watu si chini ya watu 20
Waziri Mkuu na team yake ya watu si chini ya 20
Mkuu wa Usalama wa Taifa na wasaidizi wake si chini ya 10
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na wasaidizi wake si chini ya 8
Mkuu wa majeshi na wasaidizi wake si chini ya 10
Sheikh mkuu wa BAKWATA huyu wa na wapambe wake 3 pamoja na derive
ati Sheikh mkuu wa BAKWATA? kwani nae yuko katika protokali ya ikulu? hayo ni mazingaombwe sasa.
 
Wewe umeo yesha ya kwako kabla hujahimiza wengine.

Mshahara na Allowances za Raisi zinaidhinishwa na Bunge, kama unataka kujua malipo ya Raisi wa Tanzania, kamuulize mbunge wako, lazima alijue la sivyo atapata hizo information kikamilifu kwenye office za Bunge.

Tumia uwezo wako wa kupata information uitakayo kitahisi, hii ni kama huna nia nyingine na kutaka kumtusi Raisi wetu.
mkuu, JPM mwenyewe ndiye aliyeutangazia umma wa watanzania kuwa ataonyesha salary slip yake. ndio maana watu wanasubiri kwa hamu kuiona.
 
Jpm alishatangaza mshahara wale ck alipokuwa chato je mbowe na lisu walishawahi kutangaza mishahara yao? Wanaogopa sana.
Mbowe na Lissu sio lazima watangaze mishahara yao,lakini Urais ni taasisi ya umma na mshahara wake unatokana na kodi za wananchi kwa hiyo lazima kila kitu kiwe wazi.
 
Mambo ya msingi hayabadiliki tumebaki kuletewa hoja nyepesi nyepesi tu.
 
Kama anabana matumizi si atangaze ajira za vijana alizositisha au atoe jibu la kueleweka kama amezifuta au zitatilewa lin
Serikali haiwezi kuajiri kila kijana anayehitaji kazi kudhania hivyo ni kupotoka,wale ambao ajira zilitishwa bila shaka kuna wakati zitaanzishwa tena.
 
Mtazidi kuisoma namba tu kadri siku zinavyozidi kusonga. Hapa kazi tu
 
Jpm alishatangaza mshahara wale ck alipokuwa chato je mbowe na lisu walishawahi kutangaza mishahara yao? Wanaogopa sana.
We nae ntakuwa kwenye tafiti ya kati ya watzd 4 mmoja ana matatizo ya akili. Mbona mishahara ya wabunge inajulikana pamoja na posho zao?
 
Back
Top Bottom