Sasa Mo Dewji kama unapenda 'Kupromoti' Ndondi kwanini usingeanza kwa 'Kuwapiganisha' Okra Magic na Dejan Mzungu?

Ushawahi kuchanga hata mara moja? Mnapenda aana kupiga kelele mara ooo Mo atuachie timu yetu anatuibia mmeachiwa sasa iendeaheni kwa kushirikiana na Kigwa
Tulia weeeweeeee vurugu ni muhimu kuchangamsha nchi
 
Asante sana
 
Mbona wewe kwenu hakuna mali za kusimamia?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kama huwezi kufuata matakwa ya moo simba tuachie t8mu yetu
 
Nyinyi SSC ni wajinga sana ,kwanini mnapenda kulalamika mitandaoni , si muende mkachukue timu yenu. Sasa mnamlilia nani huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…