Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Wanauiita ni mfumo wa kibaguzi
Wanataka mtu yoyote aishiye marekani aweze kupiga kura.
Kwa upande mwingine watu wanaamini hii ni mbinu wanatumia ili wahamiaji waliongia marekani bila vibali vya makazi wapewe fursa ya kupiga kura.
Kutokana na sera zao za open borders za term hii wamevunja rekodi kwa wahamiaji holela kuingia marekani kwa record numbers.
Sasa ndio hao ambao democrats wanaotaka wawapigie kura kwa malipo ya fadhira za kuwaacha waingie nchini marekani kirahisi.
Hadi sasa kuna majimbo yaliyoruhusu kupiga kura bila ID mengine lazima uwe na ID.
Wanataka mtu yoyote aishiye marekani aweze kupiga kura.
Kwa upande mwingine watu wanaamini hii ni mbinu wanatumia ili wahamiaji waliongia marekani bila vibali vya makazi wapewe fursa ya kupiga kura.
Kutokana na sera zao za open borders za term hii wamevunja rekodi kwa wahamiaji holela kuingia marekani kwa record numbers.
Sasa ndio hao ambao democrats wanaotaka wawapigie kura kwa malipo ya fadhira za kuwaacha waingie nchini marekani kirahisi.
Hadi sasa kuna majimbo yaliyoruhusu kupiga kura bila ID mengine lazima uwe na ID.