masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
CCM lazima ibadilike.
CCM lazima iende na wakati.
CCM isijifikirie kuwa wao ndio wana akili kuliko wengine wote, hasa walio madarakani.
CCM ikubali na iunde utarstibu wa kuvumilia kukodolewa ndani na nje ya chama.
Picha inayojitokeza ni uongozi wa CCM kutojiamini na kushindwa kujibu hoja.
Sasa najiuliza, hoja alizo ibua Karume zimejibiwa?
Kizazi hiki cha CCM kitumie akili zaidi kuliko mabavu.
CCM lazima iende na wakati.
CCM isijifikirie kuwa wao ndio wana akili kuliko wengine wote, hasa walio madarakani.
CCM ikubali na iunde utarstibu wa kuvumilia kukodolewa ndani na nje ya chama.
Picha inayojitokeza ni uongozi wa CCM kutojiamini na kushindwa kujibu hoja.
Sasa najiuliza, hoja alizo ibua Karume zimejibiwa?
Kizazi hiki cha CCM kitumie akili zaidi kuliko mabavu.