Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Yaani ukiambiwa kuna ugonjwa unaosumbua baadhi ya watanzania hasa wanaccm ni kutamini kua nchi iko katika seasoni mpya kabisa, tena ni ugonjwa mbaya huu zaidi kuliko hata UVIKO-19.
Tuna binadamu wana roho za kinyama zisizo na huruma eti wanajifanya wao ndio wanaumia kwa sasa. Kamwe hamtaweza kumkwamisha Mama na hilo haliwezekani kamwe.
Wananchi wanalia maisha magumu ni kwa sababu mifumo ya uzalishaji iliharibiwa na kikundi cha watu, ametokea mtu mwenye hofu ya Mungu hataki dhuluma na hata uonevu lakini bado kuna visokorokwinyo vinapiga kelele? Na Mama ana miaka 10 yake mbeleni, akimaliza ataweka mifumo mizuri ya kupata kiongozi mzuri wa kufanana naye, ninyi endeleeni kulialia tu.
Hakuna matukio ya watu kutekwa, hatusikii watu wakiokotwa ufukweni, hatusikii wafanyabishara wakiporwa mali zao, hatusikii watu wakipotea hovyo. Halafu bado kuna kikundi cha watu wanatukana watu kuwaita wahuni? Wenye hofu ya Mungu ndiyo wahuni? Wasiofanya biashara ya kununua watu ni wahuni?
Kwakua Rais anaelewa maadili ya kazi yake mnataka na yeye asimame aseme hali ya haifai hili alivyokuta? Mtanataka naye aropoke kua anajua siri za nchi hii?
Nchi ambayo tuliwafungia mipaka majirani hatuwezi kufanya nao biashara, tukavunja urafiki na marafiki wengi, hivi tungeendeleaje? Kama biashara tu zilikua zinasuasua,hii miradi ingekamilika kwa pesa za kutoka wapi? Tingeendelea kukusanya mapato toka kwa nani wakati uzalishaji ulianza kua shida?
Tuaiache nchi ipumue!
Mama kazi iendelee!
Tuna binadamu wana roho za kinyama zisizo na huruma eti wanajifanya wao ndio wanaumia kwa sasa. Kamwe hamtaweza kumkwamisha Mama na hilo haliwezekani kamwe.
Wananchi wanalia maisha magumu ni kwa sababu mifumo ya uzalishaji iliharibiwa na kikundi cha watu, ametokea mtu mwenye hofu ya Mungu hataki dhuluma na hata uonevu lakini bado kuna visokorokwinyo vinapiga kelele? Na Mama ana miaka 10 yake mbeleni, akimaliza ataweka mifumo mizuri ya kupata kiongozi mzuri wa kufanana naye, ninyi endeleeni kulialia tu.
Hakuna matukio ya watu kutekwa, hatusikii watu wakiokotwa ufukweni, hatusikii wafanyabishara wakiporwa mali zao, hatusikii watu wakipotea hovyo. Halafu bado kuna kikundi cha watu wanatukana watu kuwaita wahuni? Wenye hofu ya Mungu ndiyo wahuni? Wasiofanya biashara ya kununua watu ni wahuni?
Kwakua Rais anaelewa maadili ya kazi yake mnataka na yeye asimame aseme hali ya haifai hili alivyokuta? Mtanataka naye aropoke kua anajua siri za nchi hii?
Nchi ambayo tuliwafungia mipaka majirani hatuwezi kufanya nao biashara, tukavunja urafiki na marafiki wengi, hivi tungeendeleaje? Kama biashara tu zilikua zinasuasua,hii miradi ingekamilika kwa pesa za kutoka wapi? Tingeendelea kukusanya mapato toka kwa nani wakati uzalishaji ulianza kua shida?
Tuaiache nchi ipumue!
Mama kazi iendelee!