Nani alizifunga hizo biashara ?Umeandika upuuzi mtupu! Biashara zinafungwa kwa Tozo za kipumbavu ndio nchi inapumua?? Watu kama nyie ni aibu kwa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alizifunga hizo biashara ?Umeandika upuuzi mtupu! Biashara zinafungwa kwa Tozo za kipumbavu ndio nchi inapumua?? Watu kama nyie ni aibu kwa taifa
Jiwe alihujumiwa before haja master mchezo wa wahuni but by the end bei ili stabilizeUna
Achana na huyo shouger tunamfahamu vizuri huku mtaani anauza mattercalJiwe alihujumiwa before haja master mchezo wa wahuni but by the end bei ili stabilize
Kapanuliwe shimo hilo!Mpuuzi kabisa wewe ,jiwe alikuta bei ya sukari ni shilingi ngapi ?
Wahuni kazini,Yaani ukiambiwa kuna ugonjwa unaosumbua baadhi ya watanzania hasa wanaccm ni kutamini kua nchi iko katika seasoni mpya kabisa, tena ni ugonjwa mbaya huu zaidi kuliko hata UVIKO-19.
Tuna binadamu wana roho za kinyama zisizo na huruma eti wanajifanya wao ndio wanaumia kwa sasa. Kamwe hamtaweza kumkwamisha Mama na hilo haliwezekani kamwe.
Wananchi wanalia maisha magumu ni kwa sababu mifumo ya uzalishaji iliharibiwa na kikundi cha watu, ametokea mtu mwenye hofu ya Mungu hataki dhuluma na hata uonevu lakini bado kuna visokorokwinyo vinapiga kelele? Na Mama ana miaka 10 yake mbeleni, akimaliza ataweka mifumo mizuri ya kupata kiongozi mzuri wa kufanana naye, ninyi endeleeni kulialia tu.
Hakuna matukio ya watu kutekwa, hatusikii watu wakiokotwa ufukweni, hatusikii wafanyabishara wakiporwa mali zao, hatusikii watu wakipotea hovyo. Halafu bado kuna kikundi cha watu wanatukana watu kuwaita wahuni? Wenye hofu ya Mungu ndiyo wahuni? Wasiofanya biashara ya kununua watu ni wahuni?
Kwakua Rais anaelewa maadili ya kazi yake mnataka na yeye asimame aseme hali ya haifai hili alivyokuta? Mtanataka naye aropoke kua anajua siri za nchi hii?
Nchi ambayo tuliwafungia mipaka majirani hatuwezi kufanya nao biashara, tukavunja urafiki na marafiki wengi, hivi tungeendeleaje? Kama biashara tu zilikua zinasuasua,hii miradi ingekamilika kwa pesa za kutoka wapi? Tingeendelea kukusanya mapato toka kwa nani wakati uzalishaji ulianza kua shida?
Tuaiache nchi ipumue!
Mama kazi iendelee!
Na samia kakuta mafuta ya kula na ya magari sh ngapi?Mpuuzi kabisa wewe ,jiwe alikuta bei ya sukari ni shilingi ngapi ?
Very hopeless.Mama ambae anadai kuwa urais kwake ni janga hawezi kusonga mbele wala kazi haiwezi kuendelea.She is hopeless.
View attachment 2054533
Amekazana kupindua ya Magufuli ila yale yanayomfaidisha ameyakumbatia. Marufuku ya shughuli za vyama vya siasa na madai ya katiba mpya .Kama kweli ana nia ya kuweka mazingira mazuri katika Nchi hembu muulize kuhusu Katiba mpya tumsikie atajibu nini.
Takataka kabisa hao.Alafu fikiria anakuja mpumbavu mmoja anaandika huu upuuzi wake! Umeme mgao,Maji mgao,Bei za bidhaa,Mafuta,Mbolea zimepanda maradufu alafu bila aibu mjinga mmoja anakuja na mashairi ya kusifia ujinga ujinga hapa! NONSENSE!
Tozo ikafunge biashara???Umeandika upuuzi mtupu! Biashara zinafungwa kwa Tozo za kipumbavu ndio nchi inapumua?? Watu kama nyie ni aibu kwa taifa
Ebo! Kumbe babako na mamako wote wana jinsia ya kiume!Rais mwenye jinsia ya kike..chief hangaya..hivi mpaka sasahivi kafanya lipi la maana zaidi ya tozo na kukopea wazanzibari.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawanaga hata nia njema hao watu, maslahi yao ndio mambo ya msingi kwao.Amekazana kupindua ya Magufuli ila yale yanayomfaidisha ameyakumbatia. Marufuku ya shughuli za vyama vya siasa na madai ya katiba mpya .
Kwani ni lini nchi ilizibwa pua.Naunga mkono hoja
P
Wew ni mpu.mbavu wa hiari endelea hivyo hivyoUnaishi nchi gani ndugu toka 1500 hadi 2000 na usheee ndio stabilization hiyo ?
Eti nchi imepumua kwa lipi hasa? Nyama imependa,mafuta yote bei juu,makato ya miamala! n.kTakataka kabisa hao.
Kazi yao kusifia tu hata upumbavu! Yaani huyu mama kashafeli sana anabebwa tu na ustaarabu wa watanzania!Hii ndiyo nchi inayopumua👇🤡🤡🤡
View attachment 2054813
Wewe Mayala ushakuwa kama taahira inamaana huwezi kuendesha maisha yako bila kujipendekeza kwa wanasiasa? Tuambie kipi kimepumua hapa nchini? Kama demokrasia bado mambo yale yale kasoro rangi,bei za bidhaa zimepanda,ufisadi na uzembe kazini umeanza kushamiri! Lete hapa data utuambie wewe mzee! Nyie ndo mnazeeka bila hata maendeleo yoyote kwa kuwa hamjitambui!Naunga mkono hoja
P