Sasa nchi inapumua. Mama songa mbele, kazi iendelee

Unaishi nchi gani ndugu toka 1500 hadi 2000 na usheee ndio stabilization hiyo ?
 
Wahuni kazini,
Unadhani kama hali ya maisha ingekua nzuri kuna mtu ana haja na viongozi?
Viongizi wanapaswa kukumbushwa kama hali ni mbaya maana wao hilo hawalijui.
 
Mpuuzi kabisa wewe ,jiwe alikuta bei ya sukari ni shilingi ngapi ?
Na samia kakuta mafuta ya kula na ya magari sh ngapi?
Tumia akili na sio makario.
Wewe unazungumzia sukali tu hebu sema mwenyewe vitu gani kwa sasa havishikiki kila siku vinapanda?
 
Kama kweli ana nia ya kuweka mazingira mazuri katika Nchi hembu muulize kuhusu Katiba mpya tumsikie atajibu nini.
Amekazana kupindua ya Magufuli ila yale yanayomfaidisha ameyakumbatia. Marufuku ya shughuli za vyama vya siasa na madai ya katiba mpya .
 
Alafu fikiria anakuja mpumbavu mmoja anaandika huu upuuzi wake! Umeme mgao,Maji mgao,Bei za bidhaa,Mafuta,Mbolea zimepanda maradufu alafu bila aibu mjinga mmoja anakuja na mashairi ya kusifia ujinga ujinga hapa! NONSENSE!
Takataka kabisa hao.
 
Amekazana kupindua ya Magufuli ila yale yanayomfaidisha ameyakumbatia. Marufuku ya shughuli za vyama vya siasa na madai ya katiba mpya .
Hawanaga hata nia njema hao watu, maslahi yao ndio mambo ya msingi kwao.
 
Naunga mkono hoja
P
Wewe Mayala ushakuwa kama taahira inamaana huwezi kuendesha maisha yako bila kujipendekeza kwa wanasiasa? Tuambie kipi kimepumua hapa nchini? Kama demokrasia bado mambo yale yale kasoro rangi,bei za bidhaa zimepanda,ufisadi na uzembe kazini umeanza kushamiri! Lete hapa data utuambie wewe mzee! Nyie ndo mnazeeka bila hata maendeleo yoyote kwa kuwa hamjitambui!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…