Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

Kwa hiyo kwako TV, lazima iwe na van?Tatizo lako chuki imefunika macho yako, muda huu Arise and Shine, WRM wanarusha ibada zao live, sasa sijajua unataka live gani.
pita kushoto nyoooka mbele kule utaona jalala kuubwa linanuka,hapo utakuwa umefika
 
baki baki hadi baadaye tubishanee hadi uchoke hata ukitaka tutukanane wwewe tu,kuna kazi nafanya hapa ngoja niingize hela kwanza,ukitaka maujinga wala usijali hapa ndipo home kwake
Ujinga upi, ww umesema hawarushi matangazo live sababu hawana van, nikakuuliza kwani TV ni van? Hujanijibu, ukasema Arise and Shine wanashindwa kurusha matukio live, sasa hivi Arise and Shine (startimes channel 117) wanarusha, ibada yao live, nikakuuliza unataka warushe live gani. Ila si shangai kwa hizo comment zako maujinga unayo mengi na ndio maana huna evidence wala reference unao uandika ni ujinga ujinga tu.
 
Umemaliza kabisa...

Hizi conspiracies zisizo za logic au reasoning huwa zinanikera, maana zina-reflect ufupi wa akili zetu watanzania.
 
mkuu nami nakubali hapa tuna tatizo kubwa sana, nahisi itachukua muda sana, biashara nyingi zinapata shida kwa hili tatizo.
 
Niulize kwanini fiesta imefutwa dakika za mwisho
 
Hapa kuna swali najiuliza.

Kama mpaka post ya 180 hakuna aliyeweka evidences, wana uhakika gani wa kubishana kwa nguvu hivi?
Na kama hawawezi kuweka hizo evidences, lets say wameziona ila hawawezi ku-share; wanatarajiaje wanaobishana nao kuwaelewa?

Au watu wanabishania imani tu nini?
 
Ni porojo tu,,Hivi utumie brand yangu unipe 2%?inakuja kweli?? Hamuwezi kuwa siriaz bhana..
 
Kuna gazeti lina yote haya mnayo jadili hapa ,kwann msilitafute mkawaona wana hisa?
 
Hahahaha ,mkuu Nasib anahisa za kutosha tu ,tafute ushahidi ktk magazeti mtaupata
Ni porojo tu,,Hivi utumie brand yangu unipe 2%?inakuja kweli?? Hamuwezi kuwa siriaz bhana..
Ushahidi upo lkn naona watu wavivu tu wa kutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…