Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

msingi wa clouds ilikuwa kupewa favour na serikali na ccm haswa awamu ya nne,unajua hata majukwaa kwenye issue za ccm na promo walikuwa wanapewa prime time,kampuni mama ya clouds iliyo chini ya God kusaga?ilikuwa ni mwendo wa kula mamilioni
Kikwete alitoa studio isaidie wasanii Ruge akataifisha leo imekuwa ya tht,kipindi hicho Ruge anapiga simu anytime kwa waziri au RPC au yeyote yule kukiwa na kizingiti,hii issue ilikuwa ndogo sana kwa Ruge na Joe kusaga sema Joe kaamua kukausha maana anaingiza mamilioni yake wasafi huko,last year DAB alisema iishe saa sita uliona Ruge alivyopambana hadi ikulu kitu kikakesha??/
You said it all,CGM ni spoonfed
 
Tutaamini vp, weka ushahidi uli tujiridhishe maana kila mmoja anajaribu kutueleza wakati evidence hakuna
Issue ya clouds ipo complicated sana.
Clouds TV na Clouds FM waulize mitambo waliipata wapi!? Kuna organization fulani mitambo hiyo ilitoka. Ni suala la muda tu. Hayo nayo yataripuka Ruge analijua hilo. Hata vifaa vya THT vilitolewa kwaajili ya wasanii wote.

Kuhusu Wasafi TV taarifa zote zipo wazi TCRA. Kwenye document za TCRA wamilki wapo watatu. Mwanamke mmoja ambaye anasadikika ni mke wa Kusaga 50% Nasibu 48% na mwingine 2%.
Tafuta document za TCRA.
 
Joe na DAB huko wasafi ni kitu kimoja kama kweli angetaka iendelee wangeyamaliza hukohuko,suninimabie kwamba Joe angeshindwa kuongea na mwakyembembe,sirro,DAb au Jpm hili suala likaisha
kasheshe aisee
 
Sasa hilo linahusiana vp na nilichoongea mimi? Kama hilo la Coconut umelifahamu hiyo juzi binafsi nalifahamu tokea kitambo ingawaje sio kuhusu Frequencies!

Hoja hapa ni Joseph Kusaga kutaka kuiua Clouds Media!

Anzia hapo na sio habari za Coconut FM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nenda BRELA na TCRA... ukikuta ni uongo, rudi hapa iweke ukweli ulioupata
embu waambie hao, hwajui ujeuri wa ndugu zake joe kusaga,kina God,Andrew na yule mwanamama Judith...hata ingekuwa wewe,huwezi ukaweka effort kubwa unaumiza kichwa siku ya mwisho mnagawana sawasawa,alijitoa kiakili sana kwamba anahamia dubai na akaanzisha clouds international hukohuko,sasa huku karudi na wasafi tv kwa jina la mzee tyson,yeye ruge ana mishemishe zake nyingi kama THT,tatu mzuka ingawa hii ni share hata kusaga yupo na dada yake ruge aitwaye Kemmy ndiyo anaisimamia yeye na seba maganga, Ruge pale clouds analipwa mshahara kama mfanyakazi ,hana shares
Joe leo kawapa ndugu zake somo kubwa sana..sio kukaa tu kudai shares sawa,wakati hata kuhangaikia connections huwezi
 
embu waambie hao, hwajui ujeuri wa ndugu zake joe kusaga,kina God,Andrew na yule mwanamama Judith...hata ingekuwa wewe,huwezi ukaweka effort kubwa unaumiza kichwa siku ya mwisho mnagawana sawasawa,alijitoa kiakili sana kwamba anahamia dubai na akaanzisha clouds international hukohuko,sasa huku karudi na wasafi tv kwa jina la mzee tyson,yeye ruge ana mishemishe zake nyingi kama THT,tatu mzuka ingawa hii ni share hata kusaga yupo na dada yake ruge aitwaye Kemmy ndiyo anaisimamia yeye na seba maganga, Ruge pale clouds analipwa mshahara kama mfanyakazi ,hana shares
Joe leo kawapa ndugu zake somo kubwa sana..sio kukaa tu kudai shares sawa,wakati hata kuhangaikia connections huwezi
Aisee
 
Ulisha wahi kufanya biashara ya share?

Yaani mtaji wa kuanzisha project tuseme ni 50 Milion, mm nitoe milion 48 na ww utoe milion 2 halafu uje umiliki hisa 49 na mm nimiliki hisa 51? Hapa hata haitaji mwanasheria kama project ni wazo la
na yy kma katoa hela nyingi, lazma Kusanga awe na hisa nyingi
Bosi unajua nini maana ya brand? Diamond anakuwa beneficial wa brand yake(Wasafi) Anaweza akawa hajatoa shilingi ya capital na akapata more than 40% of share.
 
Hili ndiyo tatizo la Mwafrica, taasisi kubwa kama clouds kutengemea mtu mmoja ni ujuha yaani huyo mtu asipo kuwepo inamaana hamna taasisi (clouds)?

Angalia kama Apple muanzilishi alisha kufa kitambo lakini bado kampuni inafanya vizuri..

Niseme sisi hatuna vision au hatuna plan za mbele miaka 50 ijayo tunaangalia kesho itakuaje badala ya kuweka malengo ya mbele..

Poorest Africa
Hata hapa kwetu anayetegemewa ni Magu tu,Siku asipokuwepo kuwepo kila kijakazi atatafuta njia yake
 
Dah wabongo bhana....!!!

Yaani watu wanakaa bize!!!, kuongelea kitu, ambacho akina umuhimu wowote kwao. Hivi wasafi ikiwa inamilikiwa na Dhy or Joe and whoever nyie mnafaidika na nini hapo!! Mnapewa ugali au!!!....for sure huu ni ustupid wa mwisho kabisa.

Tubadilikeni bhana, hali yenyewe ya maisha ndio kama hivi tunavyoiona....
 
Dah wabongo bhana....!!!

Yaani watu wanakaa bize!!!, kuongelea kitu, ambacho akina umuhimu wowote kwao. Hivi wasafi ikiwa inamilikiwa na Dhy or Joe and whoever nyie mnafaidika na nini hapo!! Mnapewa ugali au!!!....for sure huu ni ustupid wa mwisho kabisa.

Tubadilikeni bhana, hali yenyewe ya maisha ndio kama hivi tunavyoiona....
nenda jukwaa la kilimo na ujasiriamali ukatoe mawaidha yako kuhusu maisha,umefata nini kwenye hili jukwaa??/
 
embu waambie hao, hwajui ujeuri wa ndugu zake joe kusaga,kina God,Andrew na yule mwanamama Judith...hata ingekuwa wewe,huwezi ukaweka effort kubwa unaumiza kichwa siku ya mwisho mnagawana sawasawa,alijitoa kiakili sana kwamba anahamia dubai na akaanzisha clouds international hukohuko,sasa huku karudi na wasafi tv kwa jina la mzee tyson,yeye ruge ana mishemishe zake nyingi kama THT,tatu mzuka ingawa hii ni share hata kusaga yupo na dada yake ruge aitwaye Kemmy ndiyo anaisimamia yeye na seba maganga, Ruge pale clouds analipwa mshahara kama mfanyakazi ,hana shares
Joe leo kawapa ndugu zake somo kubwa sana..sio kukaa tu kudai shares sawa,wakati hata kuhangaikia connections huwezi
We jamaa unatia aibu manake, kwa wanaofahamu wanakuona unaongea viroja!

Share za kampuni hazigawanyi kama urithi wewe kwamba eti "halafu wapate sawa!"

Halafu huyo Mzee Tyson unamtaja sana leo huku ukitarajia eti aka2030 ndo aje kukupa doc inayonesha shareholding structure ya Wasafi!! Utakaa mwaka mzima hiyo doc HATAKULETEA na akikuletea najipiga ban mwenyewe JF hadi 2019!!!

Namuona Bujoro hapo juu na yeye amekuomba umpatie hiyo doc ukishaletewa! Bujoro, we endelea tu na mambo mengine kwa sababu huyo aka2030 hiyo doc HANA na wala hawajawahi kuwa nayo! Kama ni mgeni wa hili jamvi, ingia tu profile ya aka2030 uone alivyokuwa too obsessed na Wasafi na anachonikera zaidi, jamaa ni mdini nuksi!

Amini usiamini, huyo jamaa awe na hiyo doc ikionesha 8% za Diamond, basi hata akipewa sharti kwamba akitaka kui-post basi ni lazima atembee Dar to Morogoro ndipo a-post, am certain huyo jamaa atakubali!

Huyo aka2030 anayemsubiria kuleta hizo nondo aliwa kuandika siku za nyuma kwamba:
Sallam Salam kumlazimisha kuwa kwenye mapato yote Mavoko kupata 50% wakati wengine wanapata 70 nakila alipouliza anaambiwa mkataba ulisainiwa kimakosa so asubiri ukiisha ndio wauboreshe tena kuna kipindi yeye wanampangia kuingia studio j2 asubuhi ili aisende kanisani

Jamaa ameshangaa kutopewa share kwenye WCB wakati yeye ni mmoja wa watoa wazo na pia alihakikishiwa matokeo yake waliopata hisa ni
Mzee tyson 50
Diamond 20
Sallam 5
Fella 2
Tale 3
Harmonize 2
Paulo kupitia mke wake 15
Janson 3
Anayemzungumzia hapo juu ni Rich Mavoko!! Yaani kwa mujibu wa Informer wa nzagambadume, yaani huyo aka2030, Rich Mavoko ni mmoja wa watoa wazo la uanzishwaji wa WCB!! Kwako inaingia akilini hiyo? Au ni WCB ipi ambayo Mavoko alishiriki kutoa wazo?

Na huyo Mzee Tyson kamweka hapo juu kwamba anamiliki 50%!!!

Sasa huyo Tyson anamiliki 50% ya WCB ipi hasa? Label ya WCB?! Kama ndiyo, hivi unaamini kabisa Diamond anaweza kukosa pesa ya kuanzisha music label hadi amtumikie mtu mwingine na yeye kupewa 20% ya shares?! Yaani Diamond huyu huyu ambae alikataa kusainiwa na ROC NATION ya Jay Z kwa sababu anafahamu mikataba ya ROC NATION inakuwa ni kama msanii unamilikiwa; leo hii amekubali kumfanyia kazi the so called Mzee Tyson ambae nzagambadume anaamini ndo Joseph Kusaga!!!

Narudia, wote mnaomsubiria aka2030 awaletee hiyo doc, mtasubiri hadi 2019 na hiyo doc hatawaletea kwa sababu hana na wala hajawahi kuwa nayo!!!!
 
We jamaa unatia aibu manake, kwa wanaofahamu wanakuona unaongea viroja!

Share za kampuni hazigawanyi kama urithi wewe kwamba eti "halafu wapate sawa!"

Halafu huyo Mzee Tyson unamtaja sana leo huku ukitarajia eti aka2030 ndo aje kukupa doc inayonesha shareholding structure ya Wasafi!! Utakaa mwaka mzima hiyo doc HATAKULETEA na akikuletea najipiga ban mwenyewe JF hadi 2019!!!

Namuona Bujoro hapo juu na yeye amekuomba umpatie hiyo doc ukishaletewa! Bujoro, we endelea tu na mambo mengine kwa sababu huyo aka2030 hiyo doc HANA na wala hawajawahi kuwa nayo! Kama ni mgeni wa hili jamvi, ingia tu profile ya aka2030 uone alivyokuwa too obsessed na Wasafi na anachonikera zaidi, jamaa ni mdini nuksi!

Amini usiamini, huyo jamaa awe na hiyo doc ikionesha 8% za Diamond, basi hata akipewa sharti kwamba akitaka kui-post basi ni lazima atembee Dar to Morogoro ndipo a-post, am certain huyo jamaa atakubali!

Huyo aka2030 anayemsubiria kuleta hizo nondo aliwa kuandika siku za nyuma kwamba:
Anayemzungumzia hapo juu ni Rich Mavoko!! Yaani kwa mujibu wa Informer wa nzagambadume, yaani huyo aka2030, Rich Mavoko ni mmoja wa watoa wazo la uanzishwaji wa WCB!! Kwako inaingia akilini hiyo? Au ni WCB ipi ambayo Mavoko alishiriki kutoa wazo?

Na huyo Mzee Tyson kamweka hapo juu kwamba anamiliki 50%!!!

Sasa huyo Tyson anamiliki 50% ya WCB ipi hasa? Label ya WCB?! Kama ndiyo, hivi unaamini kabisa Diamond anaweza kukosa pesa ya kuanzisha music label hadi amtumikie mtu mwingine na yeye kupewa 20% ya shares?! Yaani Diamond huyu huyu ambae alikataa kusainiwa na ROC NATION ya Jay Z kwa sababu anafahamu mikataba ya ROC NATION inakuwa ni kama msanii unamilikiwa; leo hii amekubali kumfanyia kazi the so called Mzee Tyson ambae nzagambadume anaamini ndo Joseph Kusaga!!!

Narudia, wote mnaomsubiria aka2030 awaletee hiyo doc, mtasubiri hadi 2019 na hiyo doc hatawaletea kwa sababu hana na wala hajawahi kuwa nayo!!!!
hongera sana kwa nondo kali,weka basi wewe docs za kuonesha domo an asilimia mia
 
We jamaa unatia aibu manake, kwa wanaofahamu wanakuona unaongea viroja!

Share za kampuni hazigawanyi kama urithi wewe kwamba eti "halafu wapate sawa!"

Halafu huyo Mzee Tyson unamtaja sana leo huku ukitarajia eti aka2030 ndo aje kukupa doc inayonesha shareholding structure ya Wasafi!! Utakaa mwaka mzima hiyo doc HATAKULETEA na akikuletea najipiga ban mwenyewe JF hadi 2019!!!

Namuona Bujoro hapo juu na yeye amekuomba umpatie hiyo doc ukishaletewa! Bujoro, we endelea tu na mambo mengine kwa sababu huyo aka2030 hiyo doc HANA na wala hawajawahi kuwa nayo! Kama ni mgeni wa hili jamvi, ingia tu profile ya aka2030 uone alivyokuwa too obsessed na Wasafi na anachonikera zaidi, jamaa ni mdini nuksi!

Amini usiamini, huyo jamaa awe na hiyo doc ikionesha 8% za Diamond, basi hata akipewa sharti kwamba akitaka kui-post basi ni lazima atembee Dar to Morogoro ndipo a-post, am certain huyo jamaa atakubali!

Huyo aka2030 anayemsubiria kuleta hizo nondo aliwa kuandika siku za nyuma kwamba:
Anayemzungumzia hapo juu ni Rich Mavoko!! Yaani kwa mujibu wa Informer wa nzagambadume, yaani huyo aka2030, Rich Mavoko ni mmoja wa watoa wazo la uanzishwaji wa WCB!! Kwako inaingia akilini hiyo? Au ni WCB ipi ambayo Mavoko alishiriki kutoa wazo?

Na huyo Mzee Tyson kamweka hapo juu kwamba anamiliki 50%!!!

Sasa huyo Tyson anamiliki 50% ya WCB ipi hasa? Label ya WCB?! Kama ndiyo, hivi unaamini kabisa Diamond anaweza kukosa pesa ya kuanzisha music label hadi amtumikie mtu mwingine na yeye kupewa 20% ya shares?! Yaani Diamond huyu huyu ambae alikataa kusainiwa na ROC NATION ya Jay Z kwa sababu anafahamu mikataba ya ROC NATION inakuwa ni kama msanii unamilikiwa; leo hii amekubali kumfanyia kazi the so called Mzee Tyson ambae nzagambadume anaamini ndo Joseph Kusaga!!!

Narudia, wote mnaomsubiria aka2030 awaletee hiyo doc, mtasubiri hadi 2019 na hiyo doc hatawaletea kwa sababu hana na wala hajawahi kuwa nayo!!!!
tetesi.PNG
usiuchezeee huu mchezo weweeee
 
Back
Top Bottom