Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

Sasa mbona wameingia mitini jamani..daah!!! Au wameingia kwenye ibada ya jioni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]still waiting..(korosho zako ziko tayari mkuu,zimeshabanguliwa kabisakabisa..hahhaa)..
Hahahaha, watakuja tu ,niwekee nachukua boda boda niwahi
 
Kuna mtu kapost hii mahaliView attachment 945730
mkuu, nimeufatilia huu mjadala mwanzo mwisho na wengine mpaka wanatukanana humu lakini kati yao wote hakuna alieleta ushaidi kutetea hoja zao, nadhani hii post yako imemaliza mabishano

Halafu huyu Juhayna si mke wa Joseph Kusaga..!!!

Ila yule aliesema hisa ni 98% kwa 2%..!!
 
Dah! We una akili sana... manake umetoa mfano mujarabu kabisa; Bishara ya Duka! Biashara ambayo hata miezi 3 uliyosema wewe ni mingi sana manake hata ndani ya mwezi mmoja, duka linaweza ku-shine kuliko maduka yote iliyoyakuta but not media business!

Clouds Media hao hao, wana radio ngapi but still inayojulikana sana ni Clouds FM! Halafu eti Kusaga aamue kuiua kwa kuitegemea Wasafi ambayo ndo kwanza ipo kwenye majaribio!

Hilo la Diamond na umiliki wa 2% ni mwehu tu ndie anaweza kuamini! Wakati huo uwekezaji wake unahitaji bilioni mia ngapi hadi akubali kumilikishwa 2%!! Watu wanaopewa 2% ni wale ambao hawana kabisa capital ya kuchangia na hivyo capital yao inakuwa ujuzi wao ili hatimae atumie ujuzi wake kuendeleza biashara husika huku nae akiwa kama mmoja wa wamiliki!

Sasa kama ulivyosema, yaani auze brand for 2% huku yeye mwenyewe akiwa ndo mpiga debe mkuu!

Halafu watu wanajisahaulisha tu! Diamond alikuwa na nia ya kuanzisha radio way back 2014 na kwahiyo wala sio kwamba kenda mtu kamfungulia idea ya media na kisha kuzawadiwa 2%!

Halafu acha kuadimika bhana!!
Well said mkuu
 
mkuu, nimeufatilia huu mjadala mwanzo mwisho na wengine mpaka wanatukanana humu lakini kati yao wote hakuna alieleta ushaidi kutetea hoja zao, nadhani hii post yako imemaliza mabishano

Halafu huyu Juhayna si mke wa Joseph Kusaga..!!!

Ila yule aliesema hisa ni 98% kwa 2%..!!
Hahahaha wa 2% ulimi mteleza
 
Sikulaumu kwani uwezo wako wakufikiri umeishia hapo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14].
Nikuambie tu kitu ndugu yangu humu ndani hatujuani na kuna watu wana stress za maisha ajabu sasa hasira zao wanakuja kuzimalizia kwa watu hata wasiowajua ushauri wangu ukiona mtu wa namna hii usijibu lolote aki kushambulia.
 
Ulisha wahi kufanya biashara ya share?

Yaani mtaji wa kuanzisha project tuseme ni 50 Milion, mm nitoe milion 48 na ww utoe milion 2 halafu uje umiliki hisa 49 na mm nimiliki hisa 51? Hapa hata haitaji mwanasheria kama project ni wazo la kusanga na yy kma katoa hela nyingi, lazma Kusanga awe na hisa nyingi
inategemeana, mtaji si pesa tu, hata brand ni mtaji
 
Dah ,hatutafika
Sio ujuaji ni wivu tu wa kimasikini maana sisi masikini sifa yetu kubwa ni uongo na roho mbaya na hatupendi kabisa kumuona mtu kafanikiwa siku zote tunatamani ashuke tufanane nae na asiposhuka basi ni kutokumkubali tu kabisa kwa lolote afanyalo.
 
Hapa huwaoni tena wazee wa 2% yaani kutolea jasho kote kule diamond awe na 2% na hii ieleweke wazi diamond sio mjinga na hizi hisa kila sehemu wanayoshilikiana na huyo kukoboa jua dogo anazaidi ya 40%.
Tumebakiza kwenye wasafi fm na Diamond karanga.
 
Back
Top Bottom