Sasa ndiyo utawajua Watanzania walivyo Wanafiki baada ya kwenda Kwako Nyavuni kuanzia Leo nao Wote sasa Watakugeuka na Kukucheka pia

Sasa ndiyo utawajua Watanzania walivyo Wanafiki baada ya kwenda Kwako Nyavuni kuanzia Leo nao Wote sasa Watakugeuka na Kukucheka pia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamebariki kifungo cha mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina cha kutohudhuria vikao 15 vya Bunge mfululizo kwa kosa la kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuwa alilidanganya Bunge kuhusu sakata la kuagiza sukari nje.

Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mwenyekiti wa Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, Ally Makoa kuwasililisha taarifa ya kamati hiyo na wabunge kutoa maoni kuhusu tuhuma za Mpina kudharau mamlaka ya Spika na Bunge, jijini Dodoma leo Jumatatu Juni 24, 2024.

Kamati ilipendekeza mbunge huyo kusimamishwa vikao 10 vya Bunge, lakinimaazimio na maoni ya wabunge wamependekeza kusimamishwa vikao 15. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amebariki adhabu hiyo.

Pia, Dk Tulia amesema adhabu ya mbunge huyo imeanza kuhesabiwa kuanzia leo Juni 24, 2024 na kusema hatarudi katika kikao cha pili cha Bunge cha Novemba, 2024.

Chanzo: mwananchi_official

Kama kuna Watu ambao siwaamini na sitowaamini Duniani kutokana na kuwa Wanafiki na Wasaliti ni Watanzania.
 
Hakuna kuteseka sana ndani ya Tanzania

Vyakula vipo
Totoz zipo
Pombe zipo
Kila kitu unachoweza kufaidi sasa si tunaishi fresh
 
Wamemkaanga haswa wabunge wenzake, sasa sijui hoja yake sijui Bado ni invalid au invalid au tusubiri tena!
 
Wanavyofanya ndivyo wanazidi kuharibu zaidi
 
Ukoo wa panya wameona panya mwenzao kaanza kuwakosoa wasiwe walafi sana wameanza kumwekea zengwe
 
Back
Top Bottom