Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
Nilichogundua ni kuwa wewe ni mental case.
Dawa ni kuwaomba watu wakuepuke kwa kubonyeza kutufe cha ignore ili kukufanya use marehemu wa jf.
Kwa heri
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kakweli CCM mkishindwa itabidi mfungwe gerezani, maana utakuwa uzembe na zaidi. Haiwezekani mfanye kampeni kwa miaka 5, mteue tume yenu, mtumie hazina yetu mtumie askari wetu alafu eti mshindwe?????....... nasema ikitokea mmeshindwa inabidi mnyongwe kufungwa haitoshi, haiwezekani muwe wazembe kiasi hicho.
 
Maguful hakupaswa kuwa Rais wa Nchi hii kwani ni Kiongozi mwenye roho mbaya na MTU wa visasi...

Binafsi sijutii kutokumchagua 2015 na nafurahia kutomchagua tena kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020...
 
WITO KWA WANAFUNZI WOTE MNAOPEWA MAFUNZO HAYO MAALUM; mara muendapo kupiga kura kwa kuwa mnafahamu kusoma na kuandika fanyeni kinyume chake wekeni tiki picha ya mwisho kabisa katika karatasi yenu ya kupigia kura sawasawa basi fanyeni hivyo
 
Pia wameanza kutumia polisi kuvuruga mikutano ya lala salama. Hali hii pia inazidisha hasira kwa wapiga kura.
 
Tume, msajiri, na polisi watawasaidia kubaki madarakani kinyume na matakwa ya wapiga kura.
 
Ni Lissu aliyekuwa mgombea bora kabisa kwenye kampeni za urais Uchaguzi huu 2020.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Very sure! Ndiyo maana vyombo vyote vya habari vinatangaza habari za Magufuli kwa kuwa upinzani ni dhaifu

Ndiyo maana Magufuli anapiga magoti kuomba kula kwa kuwa upinzani ni dhaifu

Ndiyo maana wasanii wengi kwenye kampeni za CCM kwa kuwa wapinzani ni dhaifu mwaka huu

Ndiyo maana Malori ya kumleta watu kwenye mikutano yetu kwa kuwa upinzani ni dhaifu

Ndiyo watoto wa shule na walimu wao wanafunga shule kuja kwenye mikutano kwa kuwa upinzani ni dhaifu
Ndiyo maana tunatumia Polisi,NEC na TISS kutusaidia kwa kuwa upinzani nidhaifu

Ndiyo maana Kuna wapiga kura hewa na vituo hewa kwa kuwa upinzani ni dhaifu
 
Mkuu watu hum tuliwaonya tangu January kwamba uchaguzi mkuu si Jambo la kitoto,wakawa wanaendelea na sifa nyingi kwa jpm Sasa kikowapi? Maana hata Kama utatumia njia mbadala za ushindi angalau kawepo ka kisingizio kwamba wakubalika,vinginevyo ndugu watakushangaa,jirani itakushangaa,na dunia itakushangaa,na inaweza kukutenga na isikutambue,na Kama dunia haikutambui ndo Basi Tena utamuongoza nani
 
Maneno meengi, kiboko yenu 28 October Ile paleee!!!

Na ndiyo mwisho wa uenyekiti wa mbowe Maana najua hasira zenu mtazielekezea hapo
 
Communication blackout is coming, lets be prepared.
Twitter, Whatsapp, JF, Telegram, Signal, Instagram will all not be accessible
Mambo yote VPN mzee. Hila zao zote mwaka huu lazima zifeli kwa Jina la Yesu
 
Maneno meengi, kiboko yenu 28 October Ile paleee!!!

Na ndiyo mwisho wa uenyekiti wa mbowe Maana najua hasira zenu mtazielekezea hapo
Naona saivi mmewaambia vodacom na Airtell , message zenye Jina Tundu Lissu zisitumike!!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kweli Ccm mna hali mbaya sana aisee!!!
Sasa jiandaeni tu kuondoka madarakani kwa amani hapo wiki ijayo
 
Waliona mwaka huu utakuwa mtelemko na ushetani wao. Kumbe Mungu Baba kamuandaa mpakwa mafuta wake Tundu Antiphas Lissu aje kuwakomboa watanzania
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Badilisha neno "sisi" kuwa "mimi" na baadhi ya "Watz wachache". Vinginevyo angalia likes ulizopata. Nafikiri umenielewa.
 
Chama mfu Ni kile kinachobebwa na dola badala ya hoja, ccm ilikufa toka zamani, jiwe ndo ameletwa kuimaliza kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…