Hamas wana makomando?ILA ISRAEL NI WATU WENGINE NDUGU FIKIRIA WANAJESHI 5 WA ISRAEL WANAPAMBANA NA MAKOMANDO 50 WA HAMAS LAKINI HAWAWAKIMBII CHECK CONGO WANAJESHI 1000 WANAWA KIMBIA M23 HAMSINI AU SYRIA SO HAWO KATIKA MAMBO YA KIJESHI WASHAJITOA KABISA
Huo udume wake mbona Kwa Putin kaufyata.Taifa DumeView attachment 3258776
Kudanganyana kumeanza tayari, eti wanajeshi wa 5 wa Israel na makomando 50 wa hamas, hamas wana komandoo??...na waaapi palikua na huo mlingano ulioutaja??ILA ISRAEL NI WATU WENGINE NDUGU FIKIRIA WANAJESHI 5 WA ISRAEL WANAPAMBANA NA MAKOMANDO 50 WA HAMAS LAKINI HAWAWAKIMBII CHECK CONGO WANAJESHI 1000 WANAWA KIMBIA M23 HAMSINI AU SYRIA SO HAWO KATIKA MAMBO YA KIJESHI WASHAJITOA KABISA
Walokole sasa na habari za kusadikika 😁😁😁ILA ISRAEL NI WATU WENGINE NDUGU FIKIRIA WANAJESHI 5 WA ISRAEL WANAPAMBANA NA MAKOMANDO 50 WA HAMAS LAKINI HAWAWAKIMBII CHECK CONGO WANAJESHI 1000 WANAWA KIMBIA M23 HAMSINI AU SYRIA SO HAWO KATIKA MAMBO YA KIJESHI WASHAJITOA KABISA
Rudi kwenu ujenge taifa lenu,nyani wewe,kazi kudandia nchi za watu!
Ulikua pangoni wakati wa vita vya Gaza?!ILA ISRAEL NI WATU WENGINE NDUGU FIKIRIA WANAJESHI 5 WA ISRAEL WANAPAMBANA NA MAKOMANDO 50 WA HAMAS LAKINI HAWAWAKIMBII CHECK CONGO WANAJESHI 1000 WANAWA KIMBIA M23 HAMSINI AU SYRIA SO HAWO KATIKA MAMBO YA KIJESHI WASHAJITOA KABISA
Mkuu hata mimi namkubali lakini kwa tarrifs, kufukuza undocumented na kuindolea misaada ya kijeshi Ukraine kakosea sana. Ifikapo mwezi wa saba na wa nane mwaka ndio utaona athari ya carelessness yake.Binafsi namkubali sana Trump yule ni big brain
Hapa athari yake ni nini?kufukuza undocumented
trump na musk ni celebrities kabisa, kuna watu wanawapenda hata hawawajui kiundani.Mkuu hata mimi namkubali lakini kwa tarrifs, kufukuza undocumented na kuindolea misaada ya kijeshi Ukraine kakosea sana. Ifikapo mwezi wa saba na wa nane mwaka ndio utaona athari ya carelessness yake.
Nasubiri kwa hamu job report ijumaa labour department.
mshamba_hachekwi
Nyau de adriz
Maybe china lakini hao wala pilipili na vitunguu abadanitrump na musk ni celebrities kabisa, kuna watu wanawapenda hata hawawajui kiundani.
US ni taifa kuu ndio, lakini China and India are promising too...
Kumbuka. Marekani yako inaendeshwa na wahuniIsrael bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.
Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.
Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele Kim Jong Un.
Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.
Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.
Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.
Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.
Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.
Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.
Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui mbele ya Urusi [kijeshi].
Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
Kumbuka. Marekani yako inaendeshwa na wahuni wawili Netanyahu na Trump na kikaragosi cha JD VanceIsrael bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.
Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.
Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele Kim Jong Un.
Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.
Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.
Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.
Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.
Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.
Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.
Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui mbele ya Urusi [kijeshi].
Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
Kumbuka. Marekani yako inaendeshwa na wahuni wawili Netanyahu na Trump na kikaragosi chao JD Vance mwananguIsrael bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.
Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.
Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele Kim Jong Un.
Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.
Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.
Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.
Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.
Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.
Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.
Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui mbele ya Urusi [kijeshi].
Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
wana jeshi zuri sanaMaybe china lakini hao wala pilipili na vitunguu abadani
Mkuu unaambiwa viwanda vingi sasa hivi hakuna watu. Hao undocumented walikuwa wanategemewa sana kama labourers. Wanaogopa kwenda kazini. Kazi walizokuwa wanafanya Maga na black Americans hawazitaki. Matunda na mbonga zinadoda mashambani. Kwenye restaurants na huduma zingine hali mbaya. Sasa hivi stock exchange toka jana imeshuka vibaya.Hapa athari yake ni nini?
Na wanabana matumiziwana jeshi zuri sana
wanawekeza kwenye tekolojia na elimu