Sasa ni dhahiri, super power ni moja tu hapa duniani

Sasa ni dhahiri, super power ni moja tu hapa duniani

He who leads in technology controls the world.

USA ndio kiranja wa Dunia.
 
Uchambuzi mwepesi sana kama unyoya wa kuku

Kwa hiyo Ukraine kuikubalia Marekani ndio dunia imeikubalia Marekani?

Geopolitical expertise ain't for everyone
 
Israel bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.

Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.

Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele ya Kim Jong Un.

Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.

Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko tayari kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.

Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.

Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.

Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.

Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.

Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui dafu mbele ya Urusi [kijeshi].

Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
Take my money be my slave, no escape.
 
Israel bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.

Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.

Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele ya Kim Jong Un.

Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.

Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko tayari kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.

Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.

Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.

Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.

Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.

Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui dafu mbele ya Urusi [kijeshi].

Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
We jamaa mbona kama unajishusha kwa lazima watu wakupuuze !!!! sasa apo kwenye Tafsiri Ubabe Umetokea Vipi apo Sio Putin ndio Kiongozi wa Dunia !!!!

anaechagua Aman vipi umvike M'babe wa Dunia Tramp !!!! Badala ya PUTIN anaepigana na Mataifa yote ya ULAYA pamoja na Marekani na Ajaomba Aman RUSSIA sio mchezo Mchezo...
 
😂😂😂 I try to imagine mwanajeshi wa kihindi akiwa battle field anakuwaje maana si uvivu ule, hivi hata wana historia ya kupigana vita yoyote wakashinda?
Mkuu acha ku underate India kwa kiasi hicho isee!

Ukiondoa China, India ina jeshi imara sana compare na nchi karibia zote mashariki na kusini mwa Asia.

Jaribu kuingia kwenye mitandao uchungulie jeshi na askari wake utakubali.
 
Israel bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.

Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.

Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele ya Kim Jong Un.

Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.

Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko tayari kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.

Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.

Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.

Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.

Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.

Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui dafu mbele ya Urusi [kijeshi].

Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
waarabu naona kama bado wanataka kumtunishia misuli asichukue gaza, nadhan hata wao wataufyata mkia
 
Marekani ndio hulinda hadi Mekka ikiwemo lile jiwe wao huenda kuliabudu, ila wakishiba unaskia "death to America"
Kabla ya uwepo wa Marekani hilo jiwe lilikuwa likilindwa na nan????
 
ILA ISRAEL NI WATU WENGINE NDUGU FIKIRIA WANAJESHI 5 WA ISRAEL WANAPAMBANA NA MAKOMANDO 50 WA HAMAS LAKINI HAWAWAKIMBII CHECK CONGO WANAJESHI 1000 WANAWA KIMBIA M23 HAMSINI AU SYRIA SO HAWO KATIKA MAMBO YA KIJESHI WASHAJITOA KABISA
Eti 50 kwa 5 🤣🤣🤣 mmefumbwa macho hata yanayotokea gaza hamuyajui, hamas wameuwa wanajeshi wengi tena kwa silaha za kawaida tu
 
ILA UKUBALI TU URUSI NI MBABE SANA,NA HATISHIKI NA MTU.MAREKANI NI KIRANJA URUSI NI JESHI.
 
Marekani imeonyesha wazi uchumi wake ni mkubwa na unabeba wengi
 
We jamaa mbona kama unajishusha kwa lazima watu wakupuuze !!!! sasa apo kwenye Tafsiri Ubabe Umetokea Vipi apo Sio Putin ndio Kiongozi wa Dunia !!!!

anaechagua Aman vipi umvike M'babe wa Dunia Tramp !!!! Badala ya PUTIN anaepigana na Mataifa yote ya ULAYA pamoja na Marekani na Ajaomba Aman RUSSIA sio mchezo Mchezo...
IMG_7631.jpeg
 
Wakati nembo ya taifa la Marekani ina ndege Tai sisi ya kwetu ina mwanamme na mwanamke wote wamevaa magauni.
 
Cjajua US uchumi wao ukoje kiasi hicho, kiasi kila nchi inapata misaada yake , si ULAYA ,ASIA wala AFRICA...Ni karibu kila nchi inatishiwa kuondolewa misaada....Au America ana network chafu ya kupora resources kila pembe ..si kwa uchumi huo jamani
 
Back
Top Bottom