Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua bidhaa zinazosemwa viwanda vimeongezeka kuwatishia USA wamerusha setelaiti picha ya mama.Israel bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.
Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.
Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele Kim Jong Un.
Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.
Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.
Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.
Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.
Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.
Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.
Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui mbele ya Urusi [kijeshi].
Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
Hapa nimekuelewa vizuriMkuu unaambiwa viwanda vingi sasa hivi hakuna watu. Hao undocumented walikuwa wanategemewa sana kama labourers. Wanaogopa kwenda kazini. Kazi walizokuwa wanafanya Maga na black Americans hawazitaki. Matunda na mbonga zinadoda mashambani. Kwenye restaurants na huduma zingine hali mbaya. Sasa hivi stock exchange toka jana imeshuka vibaya.
Hata right wings media WSJ na Fox zimeshaanza kulalamika na kutahadharisha ambacho siyo kitu cha kawaida.
Hata traditional Republican kina mitch McConnell George bush dick Cheney wanasikitika sana.
Hali itakuja kuwa ngumu zaidi na tayari imeshaanza.
Trump ni kama mtoto utadhani mimi na nyau adriz humu jamvini.
Leadership needs critical thinking, vision, mental strength and maturity.
By the mimi nina green card ya marekani japo siishi huko inaniuma sana.
Nyau de adriz
😂😂😂 I try to imagine mwanajeshi wa kihindi akiwa battle field anakuwaje maana si uvivu ule, hivi hata wana historia ya kupigana vita yoyote wakashinda?wana jeshi zuri sana
wanawekeza kwenye tekolojia na elimu
Halafu kumbuka uchumi wa marekani ukishuka unaathiri uchumi wote wa dunia.Hapa nimekuelewa vizuri
wana hao marines wao, marine commando forces(MARCOS)😂😂😂 I try to imagine mwanajeshi wa kihindi akiwa battle field anakuwaje maana si uvivu ule, hivi hata wana historia ya kupigana vita yoyote wakashinda?
USA nae anaangalia penye maslahi yake, kwan ulishawah kuona USA anamzngua Saudia Arabia.Bado dhaifu inapelekeshwa na Israel siku akimuwekea ngumu Israel kisawasawa hapo ndio nitajua kweli ni wamba.
Halafu jamaa akisaini Sheria fulani alikuwa anainua na kuonyesha hicho alichokifanya kwa dharau sana. 🤣😂
Ya kwamba waendelee kuteketeza pesa kwenye vita ambavyo wanajua hawawezi kushinda?Mkuu hata mimi namkubali lakini kwa tarrifs, kufukuza undocumented na kuindolea misaada ya kijeshi Ukraine kakosea sana. Ifikapo mwezi wa saba na wa nane mwaka ndio utaona athari ya carelessness yake.
Nasubiri kwa hamu job report ya February, ijumaa hii kutoka labour department.
mshamba_hachekwi
Nyau de adriz
Walokole kuwabadilisha akkli ni shida sana msameh bureKudanganyana kumeanza tayari, eti wanajeshi wa 5 wa Israel na makomando 50 wa hamas, hamas wana komandoo??...na waaapi palikua na huo mlingano ulioutaja??
Kashaweka, na kamwamvia Donald hata kama ni smart, ila uamuzi ilichukua ni dumb.Waziri mkuu wa Canada dogo Justin Trudeau alisema Trump akiweka tozo na Sisi tunaweka, Leo naona jasho linamtika anawahaidi wananchi wake kuwa wajiandae na Hali ngumu ya maisha, ila anatafuta namna ya kumaliza vita hii ya miuchumi haraka iwezekanavyo!
kuna mwehu mmoja alikuwa kiongoz wa USSR , alikuwa na akili kama za Trump , ila mwisho wa utawala wake , USSR iligeuka kuwa kama Msumbiji , kila member states alianza jitoaIsrael bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.
Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.
Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele ya Kim Jong Un.
Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.
Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda Ukraine, leo Volodymyr Zelenskyy kasema sasa yuko tayari kusitisha mapigano na kufikia muafaka wa kumaliza vita na Urusi na kwamba anasikitika kwa kilichotokea Ijumaa ya wiki iliyopita pale ikulu ya Marekani.
Ukweli wa mambo ni kwamba Marekani ndiyo kiongozi wa dunia. Marekani ndo inayoiendesha dunia.
Muungano wa Ulaya, ulio na jumla ya nchi 27, umeshindwa kuipiga tafu Ukraine bila msaada wa Marekani.
Viongozi wa Ulaya sasa hivi wana matumbo joto wakihofia tetesi kuwa huenda Marekani ikajitoa kwenye jumuiya ya NATO.
Ulaya imeonyesha udhaifu wa kiwango cha hali ya juu sana kwa kuwa tegemezi ya Marekani.
Bila jeshi la Marekani, nchi zote za EU hazifui dafu mbele ya Urusi [kijeshi].
Msioipenda Marekani, poleni sana maana hii hali na hadhi vitaendelea kuwepo kwa muda mrefu sana.
kwann utawaliwe ilihali una akili sw na mzungu , utagundua unapenda mseleleko , nyiny ndo mnairudisha ccmu madarakan kwa hongo ya tshirt na mziki wa singeliMovie tu kama movie zingine.
Irremediabilis Romaticus
Ni vizuri Trump amechaguliwa, na anaweka wazi vitu ambavyo wazungu walikuwa wakivificha kwa mda, kwamba ni waongo sana na ajenda yao ni kutawala Dunia. Kwa kiasi kikubwa wameweza kutawala fikra na mawazo ya wengi, ila safari hii, upo uwezekano wakatawala mpaka ardhi zao.
Ukoloni mamboleo is real.
Analialia kwamba ni njama ya Trump ya kuua uchumi wao kisha alichukue kirahisi Canada kama jimbo la 51 la Marekani. Trump katweet akisema mmwambieni huyo Gavana wa Canada kuwa akiweka tariff na Mimi nitaongeza kiwango hicho hicho.Waziri mkuu wa Canada dogo Justin Trudeau alisema Trump akiweka tozo na Sisi tunaweka, Leo naona jasho linamtika anawahaidi wananchi wake kuwa wajiandae na Hali ngumu ya maisha, ila anatafuta namna ya kumaliza vita hii ya miuchumi haraka iwezekanavyo!
Wametuhadaa sana watu wa Ulaya.Mimi nishangae eti Norway anatoa misaada ila naye anapokea kutoka USAID!
Sihongeki.kwann utawaliwe ilihali una akili sw na mzungu , utagundua unapenda mseleleko , nyiny ndo mnairudisha ccmu madarakan kwa hongo ya tshirt na mziki wa singeli
Laaaaaa...la...lala.... wait till I get my money right....Taifa DumeView attachment 3258776