Sasa ni dhahiri, super power ni moja tu hapa duniani

Nilijua bidhaa zinazosemwa viwanda vimeongezeka kuwatishia USA wamerusha setelaiti picha ya mama.
 
Hapa nimekuelewa vizuri
 
😂😂😂 I try to imagine mwanajeshi wa kihindi akiwa battle field anakuwaje maana si uvivu ule, hivi hata wana historia ya kupigana vita yoyote wakashinda?
wana hao marines wao, marine commando forces(MARCOS)

moja kati ya vikosi maalum makini duniani

wana nuclear submarines 2
 
Kibongo Bongo Trump angeitwa dikteta kama ilivyokuwa kwa JPM 😂
 
Russia 🇷🇺 ni dude kubwa fikiria mataifa 27 ya EU & USA 🇺🇸 yamemchangia kidume Putin bado yupo.

Russia 🇷🇺 si Zimbabwe 🇿🇼
 
Ya kwamba waendelee kuteketeza pesa kwenye vita ambavyo wanajua hawawezi kushinda?
 
Kashaweka, na kamwamvia Donald hata kama ni smart, ila uamuzi ilichukua ni dumb.
 
kuna mwehu mmoja alikuwa kiongoz wa USSR , alikuwa na akili kama za Trump , ila mwisho wa utawala wake , USSR iligeuka kuwa kama Msumbiji , kila member states alianza jitoa
 
kwann utawaliwe ilihali una akili sw na mzungu , utagundua unapenda mseleleko , nyiny ndo mnairudisha ccmu madarakan kwa hongo ya tshirt na mziki wa singeli
 
Analialia kwamba ni njama ya Trump ya kuua uchumi wao kisha alichukue kirahisi Canada kama jimbo la 51 la Marekani. Trump katweet akisema mmwambieni huyo Gavana wa Canada kuwa akiweka tariff na Mimi nitaongeza kiwango hicho hicho.
 
Mimi nishangae eti Norway anatoa misaada ila naye anapokea kutoka USAID!
Wametuhadaa sana watu wa Ulaya.


kwann utawaliwe ilihali una akili sw na mzungu , utagundua unapenda mseleleko , nyiny ndo mnairudisha ccmu madarakan kwa hongo ya tshirt na mziki wa singeli
Sihongeki.

Ety mseleleko, mie sie babako alietoa mseleleko wa fuvu lako😅😉

Hata hivyo usinibadilishie kibao hapa. Mie sio mleta mada.

Tambua hilo.

Mzungu hajawahi, na haitatokea aje kunitawala, sio kwa fikra, na wala kimawazo.



Umechangamsha genge lakini😂😂😂
 
Marekani ndio hulinda hadi Mekka ikiwemo lile jiwe wao huenda kuliabudu, ila wakishiba unaskia "death to America"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…