Sasa ni miaka 60 baada ya Uhuru wa Bara letu. What kind of future do African politicians hold for their fellow countrymen in the next 60 years (2080)?

Sasa ni miaka 60 baada ya Uhuru wa Bara letu. What kind of future do African politicians hold for their fellow countrymen in the next 60 years (2080)?

Obama alipokuwa Ghana aliwahi kusema kwamba "Afrika inahitaji taasisi imara na sio viongozi imara" sasa sijui alikuwa sahihi kwa kiwango gani.
Nadhani Afrika yahitaji viongozi imara ambao wanaweza kujenga taasisi Imara.
John Maxwell anasema every rises and falls on leadership.

Donald Trump ameikuta US iko very stable, kwa udhaifu wa uongozi, US imeanguka na kuna lots of garbage chini ya Trump.

Miaka 60 ya Uhuru wa bendera pasi uhuru wa kiuchumi unaliumiza sana bara la Afrika.

Ukisoma the Confession of an Economic Hit Man utaona ni kwa namna gani ili tutoke lazima kabadili mfumo wa elimu.
World bank education docrine/model haina msaada wowote kwetu.

Lazima tusimame na ku-define tunataka nini na tunafikaje kama Afrika. Changamoto ipo pale ambapo tuna viongozi vibaraka wa magharibi.

Afrika ni kubwa kwa size ya ardhi na maji rasilimali zaidi ya China, USA na Europe kwa pamoja.

Ni lini Afrika ita-set terms za ku-trade na Ulaya, Marekani au China; tukianza kufikiria kwenye hiyo angle tutakuwa kwenye track ya ku-take off.

Ila kama tuna viongozi wa kupeleka mabakuli Ulaya au tutaendelea kuuza pamba ghafi na kununua chupi, leso vya pamba yetu wenyewe; tujue kuna pahala hatujaamua kutumia vema akili zetu.
 

Attachments

  • images-1.jpg
    images-1.jpg
    26.8 KB · Views: 2
Donald Trump ameikuta US iko very stable, kwa udhaifu wa uongozi, US imeanguka na kuna lots of garbage chini ya Trump.

Miaka 60 ya Uhuru wa bendera pasi uhuru wa kiuchumi unaliumiza sana bara la Afrika.

Ukisoma the Confession of an Economic Hit Man utaona ni kwa namna gani ili tutoke lazima kabadili mfumo wa elimu.
World bank education docrine/model haina msaada wowote kwetu.
Maneno mazito sana haya mkuu...
 
Future ya africa alikua nayo Gaddafi na mawazo yake yalikua makini ila wakamuita dicteta wakamuua. Sikuzote ukitaka kuwakomboa watu ki fikra lazma wajuba wa mambele wakuite dicteta.

Hakuna makaburi ya waoga ila kuna makaburi ya mashujaa .
Kabisa mkuu.
 
Nadhani Afrika yahitaji viongozi imara ambao wanaweza kujenga taasisi Imara.
John Maxwell anasema every rises and falls on leadership.

Donald Trump ameikuta US iko very stable, kwa udhaifu wa uongozi, US imeanguka na kuna lots of garbage chini ya Trump.

Miaka 60 ya Uhuru wa bendera pasi uhuru wa kiuchumi unaliumiza sana bara la Afrika.

Ukisoma the Confession of an Economic Hit Man utaona ni kwa namna gani ili tutoke lazima kabadili mfumo wa elimu.
World bank education docrine/model haina msaada wowote kwetu.

Lazima tusimame na ku-define tunataka nini na tunafikaje kama Afrika. Changamoto ipo pale ambapo tuna viongozi vibaraka wa magharibi.

Afrika ni kubwa kwa size ya ardhi na maji rasilimali zaidi ya China, USA na Europe kwa pamoja.

Ni lini Afrika ita-set terms za ku-trade na Ulaya, Marekani au China; tukianza kufikiria kwenye hiyo angle tutakuwa kwenye track ya ku-take off.

Ila kama tuna viongozi wa kupeleka mabakuli Ulaya au tutaendelea kuuza pamba ghafi na kununua chupi, leso vya pamba yetu wenyewe; tujue kuna pahala hatujaamua kutumia vema akili zetu.
Umejitahidi sana kufafanua vema mkuu. Asanteee
 
Back
Top Bottom