Kwani mwokozi lazima awe striker?Umeshamaliza kumfundisha Bocco kuwa golikipa? Ukishamaliza inabidi ukajifuze nafasi za wachezaji na majukumu yao makuu. Nani aliyekwambia Skudu kaja kuchukua nafasi ya Mayele?
Daah huyo Alou Dieng ni hatari.Inawezekana mkuu
Pale Al Ahly panga pangua , Alou Dieng na Percy Tau lazima waanze
Kule Wydad fanya ufanyavyo ila Zoa lazima aanze hata kama ana bandeji kichwani
USM Alger watapanga kikosi ila lazima Orebonye aanze
Kwa hiyo nkuu inawezekana Kwa mwamba kutoboa,muhimu akiendeleza discipline yake aliyokua nayo Yanga
Jamaa mtu Sana Yule, we wish him all the best
Likija swala la Simba na Yanga akili hua zinakurukaMpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu SanaLikija swala la Simba na Yanga akili hua zinakuruka
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Amepewa thank you yenye maua mengi mnoDaaaah 😳😳😳 Sa itakuwaje au skudu ndo mwokozi wetu aliyebaki? Tumpe thank you yake basi, tuache vinyongo
Yanga SC wakiambulia Pesa nyingi ya Mgao basi itakuwa ni Shilingi Elfu Mbili ( Tsh 2,000/= ) tu za Kitanzania na watakaopata nyingi ni Klabu yake ya AS Vita, Maniema FC na Tajiri wa Congo DR anayemmiliki Mchezaji Mayele na Wachezaji wengine 23 walioko Ulaya na baadhi ya nchi za Bara la Afrika.View attachment 2703284
Club ya Pyramid FC ya Misri imetangaza kumsajli Mshambuliaji wa Kimataifa wa Congo DR Fiston Kalala Mayele (29) kutokea Yanga SC ya Tanzania.
Mayele anaondoka Yanga baada ya kucheza misimu miwili Tanzania kwa maanikio makubwa msimu wa kwanza 2021/2022 alimaliza nafasi ya pili kwa ufungaji magoli 16.
Msimu wa 2022/2023 akiibuka MVP wa Ligi Kuu Tanzania bara sambamba na tuzo ya Mfungaji bora wa Ligi sawa na Said Ntibazonkiza wa Simba wote wakifunga magoli 17.
Mayele anaondoka Yanga baada ya kuisaidia kutwaa taji la Ligi Kuu mara 2, FA Cup 2 Ngao ya Jami mara mbili na kuisaidia Yanga kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza katika historia yao msimu 2022/2023 na ndio Mfungaji bora wa Michuano hiyo akimaliza a magoli 7
Maandiko yako yamejaa kejeli na jazba za wivu ndani yakeYanga SC wakiambulia Pesa nyingi ya Mgao basi itakuwa ni Shilingi Elfu Mbili ( Tsh 2,000/= ) tu za Kitanzania na watakaopata nyingi ni Klabu yake ya AS Vita, Maniema FC na Tajiri wa Congo DR anayemmiliki Mchezaji Mayele na Wachezaji wengine 23 walioko Ulaya na baadhi ya nchi za Bara la Afrika.
Simba walimtengenezea pia Mkude video yake. Huwa nawakumbusha, hakuna jipya chini ya juaAmepewa thank you yenye maua mengi mno
Never seen before that kind of farewell
View attachment 2703374
Kafie mbele huko....!!Maandiko yako yamejaa kejeli na jazba za wivu ndani yake
Mtu wa mwisho kuwatetemesha uto alikuwa mke wa Mayele. Hii itabaki kwenye historiaKila la heri mzee wa kutetema,huna baya mzee
Hatuijui wala kuisikiaSimba walimtengenezea pia Mkude video yake. Huwa nawakumbusha, hakuna jipya chini ya jua
Vingapi hauvijui na dunia haina shida na wewe kutojua?Hatuijui wala kuisikia
Miezi mitatu kutoka sasa rudi hapa uyarudia maneno yako hayaYanga tumefanya biashara nzuri 3b ni pesa ndefu kumbuka Mayele tulimpata kama free agent
Tukamunoa sasa tumemuuza pesa ndefu hongereni viongozi wa yanga
Mwakani tunaamuza Musonda 5b na Job
Namtakia kila la heri Fiston
Nidhamu, bidii yake naamini atafanikiwa
Wewe ndio mke wa huyo tajiri?Yanga SC wakiambulia Pesa nyingi ya Mgao basi itakuwa ni Shilingi Elfu Mbili ( Tsh 2,000/= ) tu za Kitanzania na watakaopata nyingi ni Klabu yake ya AS Vita, Maniema FC na Tajiri wa Congo DR anayemmiliki Mchezaji Mayele na Wachezaji wengine 23 walioko Ulaya na baadhi ya nchi za Bara la Afrika.
ulitaka uwe wewe?Mtu wa mwisho kuwatetemesha uto alikuwa mke wa Mayele. Hii itabaki kwenye historia