Sasa ni rasmi, Fiston Kalala Mayele atambulishwa Pyramid FC ya Misri

Umeshamaliza kumfundisha Bocco kuwa golikipa? Ukishamaliza inabidi ukajifuze nafasi za wachezaji na majukumu yao makuu. Nani aliyekwambia Skudu kaja kuchukua nafasi ya Mayele?
Kwani mwokozi lazima awe striker?

Kuhusu Bocco, mtafute mtu anaitwa Jorge Campos. Vilevile kasome historia ya David De Gea
 
Daah huyo Alou Dieng ni hatari.
 
Daaaah 😳😳😳 Sa itakuwaje au skudu ndo mwokozi wetu aliyebaki? Tumpe thank you yake basi, tuache vinyongo
Amepewa thank you yenye maua mengi mno
Never seen before that kind of farewell
 
Yanga SC wakiambulia Pesa nyingi ya Mgao basi itakuwa ni Shilingi Elfu Mbili ( Tsh 2,000/= ) tu za Kitanzania na watakaopata nyingi ni Klabu yake ya AS Vita, Maniema FC na Tajiri wa Congo DR anayemmiliki Mchezaji Mayele na Wachezaji wengine 23 walioko Ulaya na baadhi ya nchi za Bara la Afrika.
 
Maandiko yako yamejaa kejeli na jazba za wivu ndani yake
 
Kila la heri mzee wa kutetema,huna baya mzee
 
Miezi mitatu kutoka sasa rudi hapa uyarudia maneno yako haya
 
Wewe ndio mke wa huyo tajiri?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kumkosa mchezaji wao waliyekuwa wanamtegemea hatimaye waamua kama mbwayi na iwe mbwayi wamfanyia Bonge la Utambulisho Mwamba Mayele. Hatimaye kimeeleweka ni Pyramid na Ufalme mpya wa Mayele pale Misri.
.
.
.
.
#solomatv_updates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…