Sasa ni rasmi ili Taifa Stars ifuzu AFCON Kesho ' Babu Mtaalam ' kutoka Pemba kasema Kikosi Kipangwe hiki kwa dakika zote 90 Kisibadilike

Ngoja tusubiri muda ufike saa kumi na Moja sio mbali

Mungu ibariki Taifa stars
 
Kwanini Ujenzi Rukwa ilishuka daraja ?
 
baba muombe huyo mtaalamu amuondoe kessi maana
 
Nmeona kikosi kocha kapanga mabeki kuanzia namba 2 mpka namba 9.
 
Huyo babu mtaalam wako toka Pemba atukome!! Asiibe utukufu wa Mungu maana watanzania tumemwomba Mungu ili timu yetu ishinde.. Sasa ikishinda usije kusema ni utaalamu wa huyo babu mchawi koko!!!, bali ni majibu ya Mungu aliye hai kwa maombi yetu watanzania!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…