Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Kifo chema Cha kufia mbele ya viongozi wa dini? Acha vichekesho bana.
Soma hapa itakusaidia
Yakobo 5:14-15
Neno: Bibilia Takatifu
14 Je, kuna mtu miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi awaite wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta katika jina la Bwana. 15 Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa huyo na Bwana atamwinua. Kama ametenda dhambi, atasamehewa.
 
Msalimie!
 
Hicho kitabu chako kinaaminika na Kila mtu humu duniani ama? Naona unaniwekea mistari kama na Mimi ni muumini wa hicho kitabu chako.
 
Hicho kitabu chako kinaaminika na Kila mtu humu duniani ama? Naona unaniwekea mistari kama na Mimi ni muumini wa hicho kitabu chako.
Sawa shekhe ila kwa imani yetu ni ufalme kufa katika kristo

Ni kama nyie mnapokaribia kufa si huwa mnatamka shahada
Ili kuthibitisha imani ya Muislamu kwa kusema:

"La ilaha illallah, Muhammadur rasulullah"
 
Sawa shekhe ila kwa imani yetu ni ufalme kufa katika kristo

Ni kama nyie mnapokaribia kufa si huwa mnatamka shahada
Ili kuthibitisha imani ya Muislamu kwa kusema:

"La ilaha illallah, Muhammadur rasulullah"
Utakuwa na ujinga wa kipaji, unadhani mtu asipokuwa mkristo basi automatically ni muisilamu! Tafuta takwimu ya kidunia uone wakristo ni wangapi, na waisilamu, kisha uje tuendelee na mjadala. Sio Kila mtu Yuko kifungoni kwenye hizo dini zenu.
 
Watu walilia,mkuu wa majeshi mstaafu alilia.

"Huyu mkuu wa majeshi siyo mtu?
 
Mwamba anawatesa sana.
 
Ukigusa mioyo ya watu...hakika ujapokufa utakuwa bado unaishi...Ref.Bob Marley
 
[emoji849][emoji849]
 
Mtaongea mengi ila rohoni mwenu mnamkumbuka. Binafsi hata juzi nililia tena. Endelea kupumzika baba yetu kipenzi cha watanzania[emoji120]
 
Mtaongea mengi ila rohoni mwenu mnamkumbuka. Binafsi hata juzi nililia tena. Endelea kupumzika baba yetu kipenzi cha watanzania[emoji120]
Pole sana.

Mungu akufariji. Mimi siku natangaziwa na umri wangu huu eti sikuamini kama kweli kafa.
 
Mkuu naelewa unachokisema lakini kaa ukijua kuna Sheria za privacy za kijeshi...Baba yako hawezi kukwambia kwamba Eti ukweli ulikuwa huu..
Hiyo ni sawa na kesi ya uhaini mkuu
 
Wivu kwa kuwa walienda kumuombea dakika za mwisho na hicho kitu ndio kinawatesa sana hadi mnawachukia maaskofu walioenda kumuombea
Omba na wewe Mungu akujalie kifo chema kama Magufuli
Hakuna tatizo la kuombewa maana ndiyo kazi ya makuhani kuombea watu.
 
Ngoja niwa-tag wazazi wa Erick Kabendera, Ben Saanane, Aquiline Aqulina, Azory Gwanda, James Rugemalira, Bollen Ngetti, Yusuf Manji, Mo Dewji, Antony Dialo na wengineo nao wasome.
 
Mkuu wa makeshi kwa kawaida anatakiwa kulilia tumboni. Akimwanga machozi nje ni kiwango Cha juu Cha huzuni, kimevuka mipaka
Umesema hivi.
"Watu wamelia na mkuu wa majeshi amelia"
Hii ina maanisha kuwa kuna watu wamelia,lkn kiumbe mwingine ambaye siyo mtu (mkuu wa majeshi mstaafu naye amelia).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…