Sasa ni rasmi Rais wa TFF, Jamal Malinzi amehusika na upangaji matokeo

Sasa ni rasmi Rais wa TFF, Jamal Malinzi amehusika na upangaji matokeo

Kuna clip imeenea nani alie iandaaa kama kweli malinzi ajiuzuru kwakweli
 
NA KWA HABARI NILIZOZIPATA HIVI PUNDE TU ZINASEMA KWAMBA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA KUNA MJUMBE MMOJA AMBAYE KUTOKANA NA USHAHIDI ALIOKUWA NAO TENA WA KIMAWASILIANO YA SAUTI YA RAIS MALINZI AKITOA MAELEKEZO NA AMBAO ALITAKA KUUTOA MBELE YA ILE KAMATI YA UCHUNGUZI WA HILI SAKATA LAKINI AKAZUIWA HADI KUTISHWA SASA ANATAKA KUWAITA WAANDISHI WA HABARI ILI AWEKE KILA KITU HADHARANI KWANI ANASEMA KWAMBA KWA KUWA KAMATI YA AKINA TARIMBA ABBAS ILIYO CHINI YA TFF YA MALINZI IMEAMUA KUMWAGA UGALI SASA YEYE ANATAKA KUMWAGA SI TU MBOGA BALI MAJI YA KUNAWA, VIJIKO, VIBAKULI NA HATA KULITUPILIA MBALI KABISA NA JIKO LENYEWE ILI KILA KITU KIWE HADHARANI. WAANDISHI WA HABARI WOTE WA MICHEZO HAKIKISHENI HAMKAI MBALI KWANI NYANGUMI SASA HIVI ANAKWENDA KUVULIWA!

NITOE WITO AMA OMBI KWA WAZIRI NAPE NA TAKUKURU KUWA FANYENI UPESI TOENI MAELEKEZO WATU WAENDE TCRA UPESI WAKAFUATILIE MAWASILIANO YA HAWA WATU WAWILI Rais Malinzi Na Huyu Bwana Chacha Kiongozi Wa Mashindano Wa TFF Ya Siku 9 Kabla Ya Mechi Ya Geita Gold FC Dhidi Ya KANEMBWA FC Kisha Mawasiliano Ya Hawa Watu Wawili Wakati Wa MAPUMZIKO Wa Hiyo Mechi Huko Mkoani Kigoma. TCRA Tafadhalini Sana TOENI USHIRIKIANO Wenu Kwani USHAHIDI WOTE SASA UPO HADHARANI Kwani Tumechoka KUFANYWA WAJINGA au WAPUMBAVU Na Kikundi Cha Watu Wanaotumia Jasho La Wachezaji Wetu KUJINEEMESHA.
Popoma katika ubora wako
 
Hiyo clip mi ninayo na nimeisikiliza zaid ya mara tatu. Tunaweza kusema Malinzi ajiuzuru labda kwa sababu nyingne lakini sio hii clip maana hakuna alipohusika direct yeye kama yeye.

Inawezekana hawa watendaji waliamua kumtaja yeye na katibu mkuu kwa sababu ndio significant figure ili waweze kupata dau kubwa make wasingewataja hao inawezekana timu tajiri isingewapa hizo mil 25
 
wewe GENTAMYCINE na wenzako acheni umbea, mimi nafatilia toka asubuhi hii thread unaahidi clip utaweka huweki, huo ndo tunasema umbea, kama unaclip si uweke, unaogopa nini, niliposti hapa mchana maneno ya MALINZI alisema kama kuna ushahidi nenda mahakamani, sio unatuletea habari zisizo na mashiko.

clip, clip, clip, clip, clip tumechoka na wimbo huu, kama huna clip, MODERATOR toa takataka hii haina mashiko ni ya upashkuna.
 
wewe GENTAMYCINE na wenzako acheni umbea, mimi nafatilia toka asubuhi hii thread unaahidi clip utaweka huweki, huo ndo tunasema umbea, kama unaclip si uweke, unaogopa nini, niliposti hapa mchana maneno ya MALINZI alisema kama kuna ushahidi nenda mahakamani, sio unatuletea habari zisizo na mashiko.

clip, clip, clip, clip, clip tumechoka na wimbo huu, kama huna clip, MODERATOR toa takataka hii haina mashiko ni ya upashkuna.


Nipm no yako nkutumie whatsapp
 
wewe GENTAMYCINE na wenzako acheni umbea, mimi nafatilia toka asubuhi hii thread unaahidi clip utaweka huweki, huo ndo tunasema umbea, kama unaclip si uweke, unaogopa nini, niliposti hapa mchana maneno ya MALINZI alisema kama kuna ushahidi nenda mahakamani, sio unatuletea habari zisizo na mashiko.

clip, clip, clip, clip, clip tumechoka na wimbo huu, kama huna clip, MODERATOR toa takataka hii haina mashiko ni ya upashkuna.
Au ingia www.shaffihdauda.co.tz utaikuta
 
Mkuu GENTAMYCINE , umepiga katikati laxima aanze kutoa POVU lingine. Mkuu vipi na hili sakata la Tra naona limemkalia vibaya...!
 
Gentamycine tunaomba clip nasi tuweze kuusikiliza uozo huo
 
Malinzi Ni tapeli Sana mpigaji yaani Ni mjanja Tu . Anapenda Sana kuonekana innocent while he is not mi jamaa simkubali Na haitokaa itokee nimkubali nyambaaaf.
 
Hivi kumbe mpo washabiki wa mpira vumbi humu??
 
Wagombea wengi sana wanaotumia Mbwembwe kuninadi mimi huwa siwakubali! Ushabiki, Upumbavu na ulimbukeni wa Watanzania ulimuwezesha Jamal kupata Fursa ya kuwa Rais wa TFF. Tulimkataa Athumani Nyamlani kwa kuwa tu anaungwa mkono na Chilla Tenga, Leodger. Shobo zetu kwa wenye pesa zinatugharimu sana. Wafanyabiashara hawafai kuwa Viongozi. Rejea kadhia ya Wanamtandao 2005-2015
 
Mpira wa bongo niliacha kuufatilia tangia enzi za rage,hakuna kitu ni majungu,fitina na uchawi tu kwanini tusiwe kichwa cha mwendawazim??
 
Back
Top Bottom