GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #101
weka ushaidi sio maneno na huache kujiona bora kuliko wengine
Kama mpaka sasa huna clip yenye mazingira yote ya USHAHIDI huo unaoutaka kwanini unadhani nisijione bora kuliko wewe? Siyo kosa langu kukufanya uwe na huo UPEO wako mdogo mkuu ila najiona bora kwa kuwa najua ninachokisema, nakisimamia na nakijengea hoja zenye mashiko. Huwa nasikia raha sana kujibu post za wenye uvivu wa kufikiri wa aina yako hii.