Sasa ni rasmi Rais wa TFF, Jamal Malinzi amehusika na upangaji matokeo

Sasa ni rasmi Rais wa TFF, Jamal Malinzi amehusika na upangaji matokeo

hivi huyu malinzi ndo yule waliokuwa viongozi wa FAT kipindi kile na WAMBURA au si yeye?maana ile FAT ilikua corrupted kinoma

Kipindi kile hakuwa FAT bali alikuwepo Yanga ambapo na kwenyewe huku WALIMFURUMUSHA Mkuu tena kwa aibu kubwa tu. Yanga unadhani wanataka masihara? Chezea kote ila Wana Yanga wenye timu yao wakiamua lao LINAKUWA na ikiwezekana utaondoka hata kwa BAKORA! Kafukuzwa Mzee Mengi mwenye PESA zake ingekuwa kwa Jamal Malinzi tu ambaye enzi hizo alikuwa anahangaika na akina Rashid Matumla Na Joseph Marwa katika NDONDI?
 
Kipindi kile hakuwa FAT bali alikuwepo Yanga ambapo na kwenyewe huku WALIMFURUMUSHA Mkuu tena kwa aibu kubwa tu. Yanga unadhani wanataka masihara? Chezea kote ila Wana Yanga wenye timu yao wakiamua lao LINAKUWA na ikiwezekana utaondoka hata kwa BAKORA! Kafukuzwa Mzee Mengi mwenye PESA zake ingekuwa kwa Jamal Malinzi tu ambaye enzi hizo alikuwa anahangaika na akina Rashid Matumla Na Joseph Marwa katika NDONDI?
daah mkuu ila nchi imeoza hii aisee rais wa TFF na upangaji matokeo tena!
 
Kwani uchaguzi ujao ni lini? Subiri na tayarisha pesa kwa ajili ya mikakati ya uchaguzi huo ili uingie wewe mkuu, maana majungu ni mengi hata ukikaa wewe.
Kwahiyo wewe hii kashfa haijakuchafua nyongo uko Sawa unaona ni majungu tu, acha kupenda watu penda uongozi mzuri.
 
Bandiko refu lakini ni full of TITO and GIGO. Umenitaka nijenge hoja kuwa Rais wa TFF Jamal Malinzi anahusikaje hivyo naanza sasa kukujibu na ili kuonyesha kuwa kazi naijua na naiweza najua kuwa kuna vijana tena waandishi wa habari 7 na Wafanyakazi 3 loyal kwa Bosi wenu Malinzi mmepewa kazi MAALUM ya kuja kunijibu huku na kunipinga ili kukwepesha lengo na tayari kwa msaada wa Mtaalam wangu wa IT na wa Mtu mliyenae hapo hapo TFF nimeshakujua wewe ni nani ila nakustahi tu nisije kukuharibia image yako kwa Wapenda soka lakini ukiendelea kujifanya kichwa ngumu namwaga identity yako hapa hapa ili wakujue.

Umesema Jamal Malinzi Rais wa TFF hahusiki sasa naomba uniambie hawa Watu wafuatao wanawajibika kwa nani na iweje wote wawepo katika zile clips na inserts zote tulizozisikia jana na leo E fm na Clouds fm :

  1. Bwana Chacha ( MKURUGENZI WA MASHINDANO WA TFF ).
  2. Bwana Matandika ( MSAIDIZI WA KARIBU SANA WA RAIS WA TFF JAMAL MALINZI KATIKA UTENDAJI ).
  3. Bwana Kulunge ( MWENYEKITI WA TFF MKOA WA GEITA ).
Kama leo unasema KUWA NAMSINGIZIA RAIS MALINZI WA TFF Basi naomba na wewe pia unijibu hao watu watatu hapo juu WANAWAJIBIKA KILA SIKU KWA NANI? Kuna mwenzako mmoja alikuja na swali kama wewe na nikamwelewesha huku nikimtaka akapate msaada wa Kisheria ili ajiridhishe na nikajua kuwa hata wewe utakuwa uliipitia kumbe hukufanya hivyo. Mwisho niendelee tena KUWASIHI WATANZANIA ACHENI KUISHI KAMA MBAYU WAYU KWAMBA ILI IAMINIKE RAIS WA TFF JAMAL MALINZI KAHUSIKA BASI NI LAZIMA YEYE KAMA YEYE ASIKIKE SAUTI YAKE AU AONEKANE AKIFANYA KITENDO CHA UFISADI BALI TAMBUENI KUWA KISHERIA MTU HUHUKUMIWA HATA TU KWA MAZINGIRA YANAYOJITOSHELEZA KAMA YA HAPO JUU NILIYOYAELEZA NA YALIYOPO KATIKA CLIPS ZOTE.

Hivi :

  • Rais Mstaafu Mzee wetu Mwinyi alipojiuzuru miaka ya 80 akiwa Waziri baada ya UFISADI / UBADHIRIFU kutokea katika ile Wizara yeye ALIHUSIKA moja kwa moja kama mlarushwa?
  • Waziri Mkuu aliyejiuzuru Edward Lowassa alipoamua kujiuzuru kwa Kashfa ya RICHMOND bungeni je yeye kama yeye ndiye MHUSIKA?
  • Aliyekuwa Rais wa FIFA Sepp Blater katika zile tuhuma zake kama 13 ukiondoa 2 tu ambazo zinamgusa yeye kama yeye je zile zingine 11 zilizobaki na ambazo ndizo ZILIMMALIZA alihusika nazo moja kwa moja?
NB: Hakuna heshima duniani kwa Kiongozi yoyote kama kuwa RESPONSIBLE na ACCOUNTABLE kwa jambo linalokutokea katika mazingira yako ya KIUONGOZI. Bado NASISITIZA Kuwa Rais wa TFF Ndugu Jamal Malinzi HANA MAHALA ATASEMA HAHUSIKI NA HILI SAKATA NA TUNAOJUA TUNASEMA AJIUZURU UPESI NA HARAKA KABLA WAZIRI Nape na TAKUKURU HAWAJAGUNDUA mengine zaidi.

Naomba post yangu hii IKUFIKIE WEWE NA WENZAKO WENGINE WOTE MNAOLITAZAMA HILI KWA UPEO WA NYASI ZA NYOKA NA JIFUNZENI KUTOKA NJE YA BOX. Sina CHUKI NA Jamal Malinzi kama yeye bali NINAPINGA UOZO WAKE NA ANAPOLIPELEKA SOKA LETU na katika hili SITONYAMAZA au KUBAKI NYUMA.

Aluta continua!
Umekosea sana kunambia mimi niko loyal kwa Malinzi. Mi sio mwandishi wa habari wala mfanyakazi wa TFF; ni mtu neutral kama ww tu.

Nahisi ungeisoma note yangu usingetokwa na povu lote hili.
Jaribu kurudia kusoma post yangu mpaka mwisho, sio unasoma para moja halafu unaijibu.
Mwenyewe nimeyasema hayo ya mwinyi, lowasa na blatter.

Nimesema Malinzi anaweza kuwajibika kwa makosa ya watendaji wa chini yake ila sio yeye mwenyewe kuhusishwA na huu upangaji wa matokeo
 
Bandiko refu lakini ni full of TITO and GIGO. Umenitaka nijenge hoja kuwa Rais wa TFF Jamal Malinzi anahusikaje hivyo naanza sasa kukujibu na ili kuonyesha kuwa kazi naijua na naiweza najua kuwa kuna vijana tena waandishi wa habari 7 na Wafanyakazi 3 loyal kwa Bosi wenu Malinzi mmepewa kazi MAALUM ya kuja kunijibu huku na kunipinga ili kukwepesha lengo na tayari kwa msaada wa Mtaalam wangu wa IT na wa Mtu mliyenae hapo hapo TFF nimeshakujua wewe ni nani ila nakustahi tu nisije kukuharibia image yako kwa Wapenda soka lakini ukiendelea kujifanya kichwa ngumu namwaga identity yako hapa hapa ili wakujue.

Umesema Jamal Malinzi Rais wa TFF hahusiki sasa naomba uniambie hawa Watu wafuatao wanawajibika kwa nani na iweje wote wawepo katika zile clips na inserts zote tulizozisikia jana na leo E fm na Clouds fm :

  1. Bwana Chacha ( MKURUGENZI WA MASHINDANO WA TFF ).
  2. Bwana Matandika ( MSAIDIZI WA KARIBU SANA WA RAIS WA TFF JAMAL MALINZI KATIKA UTENDAJI ).
  3. Bwana Kulunge ( MWENYEKITI WA TFF MKOA WA GEITA ).
Kama leo unasema KUWA NAMSINGIZIA RAIS MALINZI WA TFF Basi naomba na wewe pia unijibu hao watu watatu hapo juu WANAWAJIBIKA KILA SIKU KWA NANI? Kuna mwenzako mmoja alikuja na swali kama wewe na nikamwelewesha huku nikimtaka akapate msaada wa Kisheria ili ajiridhishe na nikajua kuwa hata wewe utakuwa uliipitia kumbe hukufanya hivyo. Mwisho niendelee tena KUWASIHI WATANZANIA ACHENI KUISHI KAMA MBAYU WAYU KWAMBA ILI IAMINIKE RAIS WA TFF JAMAL MALINZI KAHUSIKA BASI NI LAZIMA YEYE KAMA YEYE ASIKIKE SAUTI YAKE AU AONEKANE AKIFANYA KITENDO CHA UFISADI BALI TAMBUENI KUWA KISHERIA MTU HUHUKUMIWA HATA TU KWA MAZINGIRA YANAYOJITOSHELEZA KAMA YA HAPO JUU NILIYOYAELEZA NA YALIYOPO KATIKA CLIPS ZOTE.

Hivi :

  • Rais Mstaafu Mzee wetu Mwinyi alipojiuzuru miaka ya 80 akiwa Waziri baada ya UFISADI / UBADHIRIFU kutokea katika ile Wizara yeye ALIHUSIKA moja kwa moja kama mlarushwa?
  • Waziri Mkuu aliyejiuzuru Edward Lowassa alipoamua kujiuzuru kwa Kashfa ya RICHMOND bungeni je yeye kama yeye ndiye MHUSIKA?
  • Aliyekuwa Rais wa FIFA Sepp Blater katika zile tuhuma zake kama 13 ukiondoa 2 tu ambazo zinamgusa yeye kama yeye je zile zingine 11 zilizobaki na ambazo ndizo ZILIMMALIZA alihusika nazo moja kwa moja?
NB: Hakuna heshima duniani kwa Kiongozi yoyote kama kuwa RESPONSIBLE na ACCOUNTABLE kwa jambo linalokutokea katika mazingira yako ya KIUONGOZI. Bado NASISITIZA Kuwa Rais wa TFF Ndugu Jamal Malinzi HANA MAHALA ATASEMA HAHUSIKI NA HILI SAKATA NA TUNAOJUA TUNASEMA AJIUZURU UPESI NA HARAKA KABLA WAZIRI Nape na TAKUKURU HAWAJAGUNDUA mengine zaidi.

Naomba post yangu hii IKUFIKIE WEWE NA WENZAKO WENGINE WOTE MNAOLITAZAMA HILI KWA UPEO WA NYASI ZA NYOKA NA JIFUNZENI KUTOKA NJE YA BOX. Sina CHUKI NA Jamal Malinzi kama yeye bali NINAPINGA UOZO WAKE NA ANAPOLIPELEKA SOKA LETU na katika hili SITONYAMAZA au KUBAKI NYUMA.

Aluta continua!
Umesema mi nipo loyal kwa Malinzi kwasabab nimepingana na wewe, vp na mimi nikisema na wewe ni loyal kwa wapinzani wa Malinzi kwa sababu unampa tuhuma nyingi ambazo unashindwa kuzithibitisha kwa ushahidi ambao utatufanya na sisi kukuunga mkono kwenye hizi harakati za kuusafisha mpira wetu.
 
Malinzi mwenyewe kasema popote kwenye hela utamkuta . Huyu jamaa bora mngempa Wambura Richard Lawyer by Professional the guy is very smart. ILA huyu jamaa kwa kweli Ni kichomi Na kirusi kikubwa. MALINZI MUST GO.

mkuu ila kiukweliukiangalia kwa jicho la tatu TFF watakua wametuuza kwa mengi sana na kwa miaka mingi sana nadhani tokea kuanzishwa kwake, nadhani ndio taasisi isiyo na mafanikio kabisa kwa tanzania kwa sasa
 
Mkuu Nitashukuru Kama UTAWAWEKEA Hapa Ili Watu WANIHUKUMU Kama Nina Chuki Binafsi Na Rais Wa TFF Jamal Malinzi au Nina HOJA Ya Msingi. Ila Kwa Ambaye Hajaipata Hadi Sasa Vuteni Subira Nafanya MKAKATI Niwawekeeni Ile CLIP Nyingine Ya Mchongo Mzima Ulikoanzia Ikianza Na Yule Kiongozi Wa Mashindano Wa TFF Bwana Chacha, Viongozi Wa TFF Mkoa Hadi Yule Jamaa Wa TFF Aliyesema WAZI WAZI Kuwa Alikuwa Ametumwa Na Rais Wa TFF Jamal Malinzi Kwenda Kuzugumza Na Viongozi Wa Timu Tajiri Ya Geita Gold FC Wiki Moja Kabla Ya Mechi Yao Ili Wafanye Vizuri Na Wapande Ligi Kuu. Kuna Mtu Mmoja Ambaye Kwa Sasa Sitamtaja Jina Ambaye Nitamwomba Mheshimiwa Waziri Nape Nnauye Na Rais Dkt. Magufuli Ikiwezekana Wampe TUZO Ya USHUJAA Kwani Huyu Jamaa Japo Ni Mmoja Wa Viongozi Wa TFF Lakini Aliweza Kufanya UDUKUZI Wa Hizi TAARIFA Zote Huku AKIWAREKODI Na Pia Akirekodi Mawasiliano Mengine Bila Hata Ya Hao WAJUMBE Kumshtukia. Niseme Tena Kuwa KWA USHAHIDI ULIOPO RAIS WA TFF JAMAL MALINZI HASTAHILI TENA KUWA RAIS WA TFF NA AWAJIBIKE KABLA YA HIZO SAA 72 NILIZOMPA KWANI MZIGO NILIONAO WA KASHFA ZAKE ZINGINE NI MKUBWA KULIKO HATA HUU WA SASA. Nipo Katika MAPAMBANO Na SITACHOKA!
Alitumia karibu million mia tano ku lobby watu wizarani ili a rudishwe kweny mbio za uchaguzi..what did u expected from him...?
 
Back
Top Bottom