Sasa ni rasmi, TAMISEMI imemshinda Bashungwa, imebidi Waziri Mkuu aingilie kati, ndio wizara yenye kelele za uozo

Sasa ni rasmi, TAMISEMI imemshinda Bashungwa, imebidi Waziri Mkuu aingilie kati, ndio wizara yenye kelele za uozo

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.

Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.

Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.

Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.

Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.

Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
 
TAMISEMI inahitaji mtu mahiri kiasi lakini na mnoko sana lakini kwa Bashungwa ni kama iko nje ya uwezo wake. Mimi nashauri Mchengerwa apewe TAMISEMI halafu Bashungwa arudi kwenye michezo.
 
Kwa utendaji wa Bashungwa tulisema wizara ile haiwezi, TAMISEMI inataka mtu wa purukushani leo huku kesho kule na asimamie miradi kwa karibu sana
 
TAMISEMI inahitaji mtu mahiri kiasi lakini na mnoko sana lakini kwa Bashungwa ni kama iko nje ya uwezo wake. Mimi nashauri Mchengerwa apewe TAMISEMI halafu Bashungwa arudi kwenye michezo.
Bashungwa atolewe kabisa, hata michezo alipokuwa Waziri alifeli.

Anafaa kuwa askofu au Mzee wa kanisa
 
Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.

Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.

Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.

Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.

Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.

Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
We kiazi kweli
 
Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.

Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.

Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.

Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.

Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.

Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
Tatizo la Bashungwa ni kuendekeza uchawa kwa Rais na kufanya kazi kinafiki zaidi
 
We kiazi kweli
Endelea na ubishi wako ila 'wana-scouting' tulishaligundua hilo since day one;binafsi nilishawahi kuwaambia watu kijiweni kwamba uteuzi wa huyu bwana hautoshi kwenye hii wizara watu wakapinga kweli.Nashukuru wanajf nao wameligundua hilo.

Jamaa hatoshi! hatoshi! hatoshi!
 
Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.

Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.

Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.

Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.

Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.

Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi

Waziri mkuu ana source kubwa ya taarifa
Hata rais akienda sehemu alizopita Waziri mkuu atakuta madudu na utashangaa kama pm alipita hapo
 
Waziri mkuu ana source kubwa ya taarifa
Hata rais akienda sehemu alizopita Waziri mkuu atakuta madudu na utashangaa kama pm alipita hapo
Mbona Jafo aliweza na aliibua madudu mwenyewe
 
Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.

Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.

Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.

Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.

Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.

Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
Tatizo tulilonalo ktk awamu hii hatuna wabunge wa maana mpk Rais anakosa wa kumteua. Magufuli ametuletea wabunge wasio na uwezo wengi wao. TAMISEMI inahitaji aina ya watu km Unny Mwalimu, Selemani Jafo, Mchengerwa angalau, labda Jumaa Awesso. Hv km mpk ktu km Ashatu Kijaji ni waziri unategemea nini. Rais naye aache kuendekeza udini aangalie wachapakazi. Dini ibaki msikitini.
 
Hapo Tamisemi alikuwepo Jaffo akaonekana hafai, akaja Ummy hakufaa, leo Bashungwa nae hafai....

Naona hiyo wizara inamuhitaji malaika kutoka mbinguni aje kuiongoza.
 
Back
Top Bottom