chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.
Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.
Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.
Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.
Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.
Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.
Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.
Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.
Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.
Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.
Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi