Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haukuikamilisha sentensi yako mkuu.Acha wapigwe
Kwahiyo Duniani wanakatazwa kunywa pombe, ila huko peponi wanaruhusiwa. Mbona huyu Allah haaminiki?Wacha awaishwe akawe moja ya mabikra 72 pembeni ya mifereji ya pombe
AI inakutafsiria na wewe unatuwekea kama kiingereza ndo source.Source ni chombo gani?Isije ikawa ni madrasa tv[emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]Hii ni vita kamili, mstari mwekundu ulikua hakuna kwenda Beirut mji mkuu wa Lebanon au kwenda Telaviv mji mkuu wa Israel au Haifa
Mstari mwekundu ulikua ni kusini mwa Lebanon tu na kaskazini mwa Israel
Sasa mzayuni amevuka mstari mwekundu uliowekwa na Hezbollah
Sasa hii ni vita kamili muda wowote tutarajie makombora ya Hezbollah yakitua Telaviv au Haifa
Hili ni kosa kubwa sana Israel kalifanya. Hapo keshajaa kwenye mtego!!
Update: Lengo la shambulizi ilikua ni kumuua kamanda wa Hezbollah lakini hilo shambulizi limefeli vibaya mno. Netanyahu kakimbilia shimoni tayari
Media Sources: After Israel's failed terrorist attack on the suburbs of Beirut, Benjamin Netanyahu entered the fortified shelter in Kirya, the headquarters of the Israeli Ministry of War in Tel Aviv, a few moments ago.
Tunaufufua uzi wake we kafiri.[emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]Hii ni vita kamili, mstari mwekundu ulikua hakuna kwenda Beirut mji mkuu wa Lebanon au kwenda Telaviv mji mkuu wa Israel au Haifa
Mstari mwekundu ulikua ni kusini mwa Lebanon tu na kaskazini mwa Israel
Sasa mzayuni amevuka mstari mwekundu uliowekwa na Hezbollah
Sasa hii ni vita kamili muda wowote tutarajie makombora ya Hezbollah yakitua Telaviv au Haifa
Hili ni kosa kubwa sana Israel kalifanya. Hapo keshajaa kwenye mtego!!
Update: Lengo la shambulizi ilikua ni kumuua kamanda wa Hezbollah lakini hilo shambulizi limefeli vibaya mno. Netanyahu kakimbilia shimoni tayari
Media Sources: After Israel's failed terrorist attack on the suburbs of Beirut, Benjamin Netanyahu entered the fortified shelter in Kirya, the headquarters of the Israeli Ministry of War in Tel Aviv, a few moments ago.
Huu Uzi ni walaini?Kobazi msije anza kusema tena dunia ipo kimya.
Firauni limelambishwa mchanga???Gaidi mkuu haniyeh amelambishwa mchanga