Sasa ni wakati muafaka ''Brothe K'' Uchukue nafasi ya '' Mzee Majuto''

Sasa ni wakati muafaka ''Brothe K'' Uchukue nafasi ya '' Mzee Majuto''

Mkuu Brother K ninamkubali lakini Joti mmmh ni Habari nyingine aiseee... Halafu Joti kila siku yuko kwenye Kiwango, kwa wale wanaomfahamu Joti toka kipindi kile wanaigiza kwenye tamthilia na mpoki ITV, NAFIKIRI wanaelewa nini namaanisha.
Ingia Youtube tafuta JOTI TV utaelewa maanisha nini!
JOTI anabadilika katika kila character kiufupi hatabiriki!!!
Joti tofauti na kuigiza kidada dadaio au kikongwe ana nini cha ziada...?! Mkwere anacheza comedy bila kuvaa matambara na watu wanavunjika mbavu hatari...
 
Pilipili nilimwangalia kwenye churchil show niliudhika mapka nikaacha mwangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
Alinikera sana Naye akaanza kuleta story za ma slay queen Badala Alete kitu cha tofauti, wale Akina prof Hamo, Mc Trick, Mrume, Jemutai, Mamito, Y.Y wale ni nomaaa, huwa sipitwi hicho kipindi, nikichelewa ntaingia hata you tube nienjoy.
 
Joti tofauti na kuigiza kidada dadaio au kikongwe ana nini cha ziada...?! Mkwere anacheza comedy bila kuvaa matambara na watu wanavunjika mbavu hatari...
mkwele anatumia nguvu nyingi mno kuforce kuchekesha. pale huwa nawakubali wote kikosi kizima cha mizengwe ila mmojammoja chenga tu.
 
Alinikera sana Naye akaanza kuleta story za ma slay queen Badala Alete kitu cha tofauti, wale Akina prof Hamo, Mc Trick, Mrume, Jemutai, Mamito, Y.Y wale ni nomaaa, huwa sipitwi hicho kipindi, nikichelewa ntaingia hata you tube nienjoy.
Professor Hamo ni habari nyingine ua ananivunja mbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila tuache ushabiki orginal comedy ilikuwa kitu kingine wakati wanaanza mzazi saa moja yupo home kusubir orginal comedy

Sent using Jamii Forums mobile app
Usinikumbushe enzi zile[emoji23] [emoji23] yaan ikifika mida ya kipindi kuanza shughuli zote zinasimama. Sasa usiombe uwe njiani either kwenye daladala....
 
Alinikera sana Naye akaanza kuleta story za ma slay queen Badala Alete kitu cha tofauti, wale Akina prof Hamo, Mc Trick, Mrume, Jemutai, Mamito, Y.Y wale ni nomaaa, huwa sipitwi hicho kipindi, nikichelewa ntaingia hata you tube nienjoy.

Anabadili mpka sauti anakuwa kama wakenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli binadamu tumetofautiana, mi binafsi huyo jamaa namuona wa kawaida sana ndio maana nikionaga Futuhi nabadili Channel fasta, comedy za kupigana kilasiku kama matoto, na hawezi kuchekesha bila kuvaa nguo oversize ndo umfananishe na yule mzee ambaye anauwezo wa kukuchekesha hata akivaa suti? Huyo hastahili hata kufunga gidamu za viatu vya Joti, labda unaweza mfananisha na Bambo ndo size yake. Mtu pekee anayeweza kurithi mikoba ya Majuto ni Joti

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe braza K, yuko vizuri kinoma..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom