Sasa ni wakati muafaka wa bunge kuonyesha weledi na ukomavu wake

Sasa ni wakati muafaka wa bunge kuonyesha weledi na ukomavu wake

konda msafi

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
1,696
Reaction score
8,763
Kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya hii mihimili miwili sasa ni wakati muafaka wa watanzania kujua weledi wa bunge lao. Kwa hali iliyopo bunge makini lina options mbili tu nazo ni 1. kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais 2. Kupiga kura ya kutokuwa na imani na spika wa bunge. Bunge kuwa neutral kwenye hili sakata ni kipimo tosha cha kutambua weledi wa bunge letu.
 
Kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya hii mihimili miwili sasa ni wakati muafaka wa watanzania kujua weledi wa bunge lao. Kwa hali iliyopo bunge makini lina options mbili tu nazo ni 1. kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais 2. Kupiga kura ya kutokuwa na imani na spika wa bunge. Bunge kuwa neutral kwenye hili sakata ni kipimo tosha cha kutambua weledi wa bunge letu.
Mwenyekiti wakuongoza hiyo michakato anatokea wapi?
Na atalindwa kwa sheria IPI?
Katiba mpya ni sasa
 
Sasa nafasi imeshajitokeza ya wao kuproove kama ni dhaifu au sio dhaifu.
Hilo linawezekana tu endapo hotuba ya jana imewaamsha usingizini kuwakumbusha nafasi yao. Vinginevyo sioni kiongozi wa kuongoza hilo la kuonyesha uimara wao.

Kumbuka hadi hapo bunge limeshajeruhiwa tayari.
 
Hilo linawezekana tu endapo hotuba ya jana imewaamsha usingizini kuwakumbusha nafasi yao. Vinginevyo sioni kiongozi wa kuongoza hilo la kuonyesha uimara wao.

Kumbuka hadi hapo bunge limeshajeruhiwa tayari.
Historia itawahukumu. This is a very important chapter for our parliament history. Vizazi na vizazi vitasoma na itakuwa case study kwa vizazi vijavyo either bunge kuwa neutral or to react, whichever the case may be.
 
Kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya hii mihimili miwili sasa ni wakati muafaka wa watanzania kujua weledi wa bunge lao. Kwa hali iliyopo bunge makini lina options mbili tu nazo ni 1. kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais 2. Kupiga kura ya kutokuwa na imani na spika wa bunge. Bunge kuwa neutral kwenye hili sakata ni kipimo tosha cha kutambua weledi wa bunge letu.
Sio kwa udhaifu huo walionao
 
Naona naibu spika akiongoza kikao cha bunge kupiga kura ya kutokua na imani na spika, ngoja tuone......
 
Back
Top Bottom