Sasa ni wakati wa kuianika mikataba yote ya Magufuli kama wao walivyoanika mkataba wa Bandari ya Bagamoyo na mingineyo

Sasa ni wakati wa kuianika mikataba yote ya Magufuli kama wao walivyoanika mkataba wa Bandari ya Bagamoyo na mingineyo

Niliuwaga muumini mzuri wa Upinzani,baadae niliona ni Usanii mtupu umewajaa! Sasa hivi JK kageuka kuwa Malaika kwao. Kweli JPM aliwanyoosha.
Ningenda kukuita mataga(japo mshakufa sasa), vip nitakuwa nimekukwaza mkuu?
 
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Masikini ni Masikini tu na kamwe huwa anamchukia tajiri, hujui kuwa kuna watu wamefanya sherehe mpaka kuchinja mbuzi au ng'ombe? Poor you.
 
Sidhani kama serikali inahitaji kufanyia kazi maneno ya mitandaoni,na kama wewe ni mmoja ktk viongozi yamkini ni mbunge tutaenda kusema bungeni huko

Tunachojua JPM alikua kiongozi shupavu na tutamkumbuka,hatuamini kama aliweza kua na makando kando

Nje na hivyo utakua unatupigia kelele tu
Jiwe ni mwizi kuliko ma Rais wote, sema aliweza kujificha sana, acha aende akajibu mbele, Mungu kaingilia kati kunusuru matatizo
 
Ifumuliwe yote - tuanze na kufumua ukuta wa Mererani, ukuta wote uondolewe na matofali wawagawie wananchi. Baadae tufumue SGR yote maana ujenzi wake umeumiza wananchi, barabara ya mbezi ibaki lane moja tu, wote waliovunjiwa majumba warudishwe wajenge sehemu zao, wagawiwe kifusi kitakacho toka kwenye lane nyingine zitakazo vunjwa.
Ndege zipigwe mnada zote, maana ni maendeleo ya vitu si watu! Tusiishie kufumua mikataba tu tufumue vyote vilivyojengwa na hiyo mikataba. Tuanze alifu! Demokrasi itakuwa imetamalaki!
Mbona kama una akili za kijiwe jiwe, je mna undugu?
 
Zile details hazikuwa na privacy yoyote na wala hakukuwa na implications yoyote kwa Kikwete, kwani zilikuwa bado ni proposals tu kabla ya kufikia makubaliano. Inawezekana kabisa kuwa hata Kikwete mwenyewe angezikataa!!
Sasa kama ni proposals, subject to negotiations alikuwa na sababu gani za kuziweka hadharani na kuwaamimisha watanzania vile walivyoaminishwa? Proposals are just proposals. Huwezi kulalamikia proposals za mwenzio hata kidogo cause na wewe una proposals zako ambapo kazi kubwa ni kufanya "terms convergence". In short, alimdhalilisha mzee wa msoga kwa sababu public iliaminishwa kwamba ile ndio final proposa iliyofikiwa na mzee wa msoga. Hilo alichemka na kuuacha ule mradi alichemka zaidi.
 
Onyesha chembe ya ubinadam au uungwana japo kidogo tu!
Subirini kwanza tumalize kuomboleza. Mambo mengine yatafuata mkondo wake.
 
Hapo ndo Uwezo wenu wa kufikiria ulipoishia, wengi mnajiona mmesoma na kuelewa kumbe ni mateka wa fikra za elimu ya kidhalimu ya mkoloni.

Wengi wenu Barabarani Mnaonekana wenye utimamu wa akili kumbe kwa Ubungo ni empty minded, idiots & fools.

Mnajua kutamba nyuma ya keyboards but on the ground ZEROS.

Acheni Magufuli apumzike kwa Amani kwa Kazi Kubwa aliyoifanya Just for 5' yrs Consecutivelly.
Wewe ni chizi kama mwenzio, ok so hutaki kujua mikataba aliyo sign jiwe?
 
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Ulikuwa wapi wakati Nyerere analetwa kutoka London au anasafirishwa kwenda Butiama? Watu walikuwa nyomi, walilia, walizimia na hata kufa huku baadhi yao hawajawahi kumuona au kuona aliongozaje. Na kumbuka hakukuwa na whatsaap, twitter, fb wala jf.
Hao ndio watanzania. Ni mchanganyiko wa brains nyingi: waigizaji, wasanii, wasiojielewa, wanaojielewa, wafuata mkumbo, wambeya, la saba B.....list haina ukomo. Hivyo uliyoyaona siyo reflection halisi kwamba wote hao wameguswa na uchapakazi. Wahenga walisema kwenye kundi la mamba na kenge wamo.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Nionavyo mimi hilo halitatokea kwa sababu ya tofauti ya personalities. Mama Samia si mtu wa kutaka sifa za kijinga za kuwaponda watanglizi wake. Mabadiliko kama yatatokea yatakuwa na maelezo yanayojitosheleza
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Ww unafikiri Ngosha ni mkwele! Mikataba ya sasa imesimama wima, hakuna ngulai za JK hapa! Tupo salama!
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Hatuwezi kusitisha mikataba yenye maslahi ya kitaifa.Ule mradi wa bandari ya Bagamoyo hakuna shaka yeyote kwamba haukuwa na maslahi ya kitaifa.Hata hivyoo, wewe una hangaika bure,miradi yote ya Magufuli ipo kwenye ilani ya CCM,kwa hiyo ni halali.Halafu wa ku-authorize huo uchunguzi ni nani,kwa kuwa wananchi,serikali na chama vyote vinaamini kwamba aliyokuwa anafanya Magufuli ni sahihi.

Niseme hivii,Samia will be digging her own grave by deviating from Magufulis' path.Mind you,Samia anamalizia tu alipoachia Magufuli, kwa hiyo anachotakiwa kufanya ni kusimia kikamilifu miradi yote iliyopo until their competition, na kama ipo mingine ambayo ipo kwenye ilani ya CCM,aianzishe.La msingi tu ni kwamba lazima ahakikishe resources za kutosha zitakuwepo to their completion.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.

Mkuu Kuna uzi wako kuhusu Kikwete unaitwa. Ila pumzika tuko msibani. Unaoneka wewe miss bwabwaja.
 
Back
Top Bottom