Sasa ni wakati wa kuwa na familia

Sasa ni wakati wa kuwa na familia

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Mambo mengine kumbe huja automatic, nakuwa na msukumo mno wa kuwa na familia,watoto najihisi msukumo tokea ndani ya nafsi yangu

Umri unakimbia age mate wote nafikiri now wanafamilia kama si kuzalisha au kuzalishwa 1yr left to reach 30floor
Natamani sasa mtu wa kupigizana nae kelele nimechoka kuwa mpweke

Kwasas sina mwanamke sirias kila ninapokanyaga ni single maza mpaka naona uvivu unakuta adi kisichana cha 2005 kinalea,

Endapo nitadondoka sasaivi sina ushahidi nitakao acha kama nilikuwepo ,sikuamua tu kupata watoto mapema sikutaka kuwa kama dingi tupo wengi malezi zero

Now officially namsaka saka mrembo tutoe copy nzuri.
 
Single mother Wana shida gani acha kukaririshwa na masela wasio jua thamani ya mtu wasio jua maisha.

Mwanzo nilikuwa kama wewe tu kuamini single mother hawafai ila baadae baada ya kujua maisha na vyote ni ubatili na vina pita nime change msimamo.

Yamewatokea mengi mengine huwezi kuyajua ni heri km mzuri mchukue.. Ila mwanzon asikuletee mtoto wake kwanza amuache kwao kwanza....

Kuna demu mwingine unamuona hana mtoto ila jua kashatoa mimba kibao hata tano sasa si heri aliyezaa
 
Takwimu zinasema 60%-70% ya ndoa ambazo wanandoa waliooana,
1)wanaishi mijini
2)wanalingana kipato.
3)wana elimu sawa/wamepishana kidogo.

Huwa zinavunjika ndani ya miaka 3-5
Unaoa ili ugundue nini mzee?

Vijana wengi tukishaanza kupata mafanikio, huwa tunakimbilia kuoa na mara nyingi unakuta ni ndugu ndio huwa wanashawishi.

Unakuta simu za mashangazi hazipungui. Halafu unakuta anaekwambia uoe yeye mwenyewe ameachika.

Kataa ndoa na ulinde kibunda mzee!!!
 
Single mother Wana shida gani acha kukaririshwa na masela wasio jua thamani ya mtu wasio jua maisha...mwanzo nilikuwa kama wewe tu kuamini single...
Utawala wa baba wa kambo huwa unaisha pale real daddy anapo kick in.

Jamaa anaeza akawa anakuzalishia watoto wewe unalea tu, watu wakikwambia umefanana na mwanao masikio na wewe bichwa linavimba kumbe unalea shahawa za mwanaume mwenzio.

Na kwa nini ukaanzishe familia yako mahali alipoanzisha familia mwanaume mwenzio? Wanawake wameisha? Fikiri nje ya box bro.

 
Utawala wa baba wa kambo huwa unaisha pale real daddy anapo kick in.

Jamaa anaeza akawa anakuzalishia watoto wewe unalea tu, watu wakikwambia umefanana na mwanao masikio na wewe bichwa linavimba kumbe unalea shahawa za mwanaume mwenzio.

Na kwa nini ukaanzishe familia yako mahali alipoanzisha familia mwanaume mwenzio? Wanawake wameisha? Fikiri nje ya box bro.
View attachment 3032882
Huo ni uoga wako tu kwamba aliyemzalisha pengine alimkimbia majukumu akahamia mwanza so wewe ukimuoa single maza Arusha basi Jamaa atakuwa anatoka mwanza anakuja kuzalisha mkeo kisha akitia mimba anakimbia Tena????!!!! Wewe ni mtu mzima kuwa na akili zilizokomaa.. Tunawaponda single mother ila unakuta hata mama zetu pia wamepitia mambo hayo hayo ya usingle mother... Familia za baba mama na watoto ni chache mno mkuu usikariri.


Nelly
 
All the best

1720044576423.png
 
Mambo mengine kumbe huja automatic, nakuwa na msukumo mno wa kuwa na familia,watoto najihisi msukumo tokea ndani ya nafsi yangu

Umri unakimbia age mate wote nafikiri now wanafamilia kama si kuzalisha au kuzalishwa 1yr left to reach 30floor
Natamani sasa mtu wa kupigizana nae kelele nimechoka kuwa mpweke

Kwasas sina mwanamke sirias kila ninapokanyaga ni single maza mpaka naona uvivu unakuta adi kisichana cha 2005 kinalea,

Endapo nitadondoka sasaivi sina ushahidi nitakao acha kama nilikuwepo ,sikuamua tu kupata watoto mapema sikutaka kuwa kama dingi tupo wengi malezi zero

Now officially namsaka saka mrembo tutoe copy nzuri,

Kama umejisikia hivi sasa ndiyo unaweza kuishi na mwanamke!! Huwa nawashauri vijana usioe mpaka upate wito, kuishi na mtoto wa mtu kazi sana kama huna wito!!

Kupata mke usikurupuke!
1. Shirikisha marafiki werevu wake kwa waume wenye ufahamu na mahusiano
2. Shirikisha wazee (wajomba, shangazi, bibi na babu na hata baba na mama) wakupe dondoo mbili tatu kuna kitu watakuambia kitakuongoza sana!
3. Mfahamu mwanamke utakayemchagua kuanzia historia ya kwao! Mfano; Ni familia yenye maradhi ya kurithi? Ni familia yenye asili ya ukorofi? Huyo mpenzi wako kalelewa na single maza, ilikuwaje? Familia walevi? Wanaoleka na kuoa au ndiyo wale ukiingia kwao unakuta dada zake sita waliolewa na kuachwa na kaka zake wameoa na kuacha na watoto wapo kwa babu yao!!

Ndoa nyingi hazidumu sababu huwa tuna bypass baadhi ya mambo muhimu kwa kujitia usasa! Mwisho wa siku unaoa binti ambaye kwao ni wakorofi balaa! Halafu unashangaa eti mkeo mkorofi!!

Au unaoa familia ina historia ya kuugua kichaa bro!! Tutakukuta kitaa unakimbizana na mkeo halafu unajiuliza imekuwaje tena na alikuwa mzima?? Nakutakia kila la kheri
 
Single mother Wana shida gani acha kukaririshwa na masela wasio jua thamani ya mtu wasio jua maisha.

Mwanzo nilikuwa kama wewe tu kuamini single mother hawafai ila baadae baada ya kujua maisha na vyote ni ubatili na vina pita nime change msimamo.

Yamewatokea mengi mengine huwezi kuyajua ni heri km mzuri mchukue.. Ila mwanzon asikuletee mtoto wake kwanza amuache kwao kwanza....

Kuna demu mwingine unamuona hana mtoto ila jua kashatoa mimba kibao hata tano sasa si heri aliyezaa
Kweli mkuu upo sahihi kabisa,yupo binti wa 2005 nafikiri ila ameshatoa mimba mbili sio zangu na kweli mtu waweza jichanganya vizuri tu bila kujuwa
 
Takwimu zinasema 60%-70% ya ndoa ambazo wanandoa waliooana,
1)wanaishi mijini
2)wanalingana kipato.
3)wana elimu sawa/wamepishana kidogo.

Huwa zinavunjika ndani ya miaka 3-5
Unaoa ili ugundue nini mzee?

Vijana wengi tukishaanza kupata mafanikio, huwa tunakimbilia kuoa na mara nyingi unakuta ni ndugu ndio huwa wanashawishi.

Unakuta simu za mashangazi hazipungui. Halafu unakuta anaekwambia uoe yeye mwenyewe ameachika.
U
Kataa ndoa na ulinde kibunda mzee!!!
Upo sahihi kabisa huu ni msukumo toka within pia unachochewa na ndugu zangu hasa sisters zangu wapo radhi kunitafutia hata mke
 
Back
Top Bottom