Sasa ni wakati wa kuwa na familia

Sasa ni wakati wa kuwa na familia

LUpo sahihi kabisa huu ni msukumo toka within pia unachochewa na ndugu zangu hasa sisters zangu wapo radhi kunitafutia hata mke
Hakika huwa
Utawala wa baba wa kambo huwa unaisha pale real daddy anapo kick in.

Jamaa anaeza akawa anakuzalishia watoto wewe unalea tu, watu wakikwambia umefanana na mwanao masikio na wewe bichwa linavimba kumbe unalea shahawa za mwanaume mwenzio.

Na kwa nini ukaanzishe familia yako mahali alipoanzisha familia mwanaume mwenzio? Wanawake wameisha? Fikiri nje ya box bro.

View attachment 3032882
Binafsi familia aitonielewa nilishawah mpima dingi kwamba nimepata mtu ila ana mtoto aliniambia tu kiume acha ujinga ,mama ndo kabisa apendi nioe single mama
 
Kama umejisikia hivi sasa ndiyo unaweza kuishi na mwanamke!! Huwa nawashauri vijana usioe mpaka upate wito, kuishi na mtoto wa mtu kazi sana kama huna wito!!

Kupata mke usikurupuke!
1. Shirikisha marafiki werevu wake kwa waume wenye ufahamu na mahusiano
2. Shirikisha wazee (wajomba, shangazi, bibi na babu na hata baba na mama) wakupe dondoo mbili tatu kuna kitu watakuambia kitakuongoza sana!
3. Mfahamu mwanamke utakayemchagua kuanzia historia ya kwao! Mfano; Ni familia yenye maradhi ya kurithi? Ni familia yenye asili ya ukorofi? Huyo mpenzi wako kalelewa na single maza, ilikuwaje? Familia walevi? Wanaoleka na kuoa au ndiyo wale ukiingia kwao unakuta dada zake sita waliolewa na kuachwa na kaka zake wameoa na kuacha na watoto wapo kwa babu yao!!

Ndoa nyingi hazidumu sababu huwa tuna bypass baadhi ya mambo muhimu kwa kujitia usasa! Mwisho wa siku unaoa binti ambaye kwao ni wakorofi balaa! Halafu unashangaa eti mkeo mkorofi!!

Au unaoa familia ina historia ya kuugua kichaa bro!! Tutakukuta kitaa unakimbizana na mkeo halafu unajiuliza imekuwaje tena na alikuwa mzima?? Nakutakia kila la kheri
Thanks mkuu, i take it nahitaji kizazi strong enough, kweli kuna sehemu unazama ni full kichomi
 
Kama umejisikia hivi sasa ndiyo unaweza kuishi na mwanamke!! Huwa nawashauri vijana usioe mpaka upate wito, kuishi na mtoto wa mtu kazi sana kama huna wito!!

Kupata mke usikurupuke!
1. Shirikisha marafiki werevu wake kwa waume wenye ufahamu na mahusiano
2. Shirikisha wazee (wajomba, shangazi, bibi na babu na hata baba na mama) wakupe dondoo mbili tatu kuna kitu watakuambia kitakuongoza sana!
3. Mfahamu mwanamke utakayemchagua kuanzia historia ya kwao! Mfano; Ni familia yenye maradhi ya kurithi? Ni familia yenye asili ya ukorofi? Huyo mpenzi wako kalelewa na single maza, ilikuwaje? Familia walevi? Wanaoleka na kuoa au ndiyo wale ukiingia kwao unakuta dada zake sita waliolewa na kuachwa na kaka zake wameoa na kuacha na watoto wapo kwa babu yao!!

Ndoa nyingi hazidumu sababu huwa tuna bypass baadhi ya mambo muhimu kwa kujitia usasa! Mwisho wa siku unaoa binti ambaye kwao ni wakorofi balaa! Halafu unashangaa eti mkeo mkorofi!!

Au unaoa familia ina historia ya kuugua kichaa bro!! Tutakukuta kitaa unakimbizana na mkeo halafu unajiuliza imekuwaje tena na alikuwa mzima?? Nakutakia kila la kheri
Mleta mada achukue huu ushauri aufanyie kazi naamini utamsaidia
 
Back
Top Bottom