Sasa ni wakati wa kuwa na familia

LUpo sahihi kabisa huu ni msukumo toka within pia unachochewa na ndugu zangu hasa sisters zangu wapo radhi kunitafutia hata mke
Hakika huwa
Binafsi familia aitonielewa nilishawah mpima dingi kwamba nimepata mtu ila ana mtoto aliniambia tu kiume acha ujinga ,mama ndo kabisa apendi nioe single mama
 
Thanks mkuu, i take it nahitaji kizazi strong enough, kweli kuna sehemu unazama ni full kichomi
 
Mleta mada achukue huu ushauri aufanyie kazi naamini utamsaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…