Sasa ni wakati wa Wazaramo pia kudai Dar Es Salaam yao

Sasa ni wakati wa Wazaramo pia kudai Dar Es Salaam yao

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi.

Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na watu wa daraja la chini. Mi naumia sana. Sisi tuna nyumba mitaa flani ndo tumebaki sisi tu baada ya kugoma kuuza. Akina Mzee Saidi Ngimba Matepwele ,akina Jamhuri Kitambinjaa, akina Mzee Amri Kidekule, akina Sheikh Ngunde, Sheikh Mtopelo , Sheikh Abdallah Tumbo na Kufakunoga. Walishauza maeneo yao sasa wanalia njaa tu hapa Mjini.

Nashauri tuanzishe movement yetu ya ZARAMO BACK TO DAR. ZB2D kule Mbezi, Oysterbay, Masaki, Mussa Hassan kote kulikuwa kwetu. Leo hii Mabeberu na Walowezi ndo wametamalaki. Inaumiza sana.
 
Wazaramo ni wavivu hawataki kazi wamefunga ndoa na umaskini akinunua msuli tu anaridhika kwahiyo tutanunua hivyo hivyo maeneo yao wao wahamie huko nje hadi watokomee kusikojulikana
 
Ila wewe jamaa uwa nakufananisha na Chizi Maarifa kwenye uandishi wa nyuzi. Unaweza kuandika jambo kama linakuhusu wewe kumbe haupo upande huo.
Uandishi wenu kwenye kipigo cha KOBAZI wa kule ghaza na misimamo yao ya kidini huwa ni burudani tosha kabisa.
 
Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi.

Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na watu wa daraja la chini. Mi naumia sana. Sisi tuna nyumba mitaa flani ndo tumebaki sisi tu baada ya kugoma kuuza. Akina Mzee Saidi Ngimba Matepwele ,akina Jamhuri Kitambinjaa, akina Mzee Amri Kidekule, akina Sheikh Ngunde, Sheikh Mtopelo , Sheikh Abdallah Tumbo na Kufakunoga. Walishauza maeneo yao sasa wanalia njaa tu hapa Mjini.

Nashauri tuanzishe movement yetu ya ZARAMO BACK TO DAR. ZB2D kule Mbezi, Oysterbay, Masaki, Mussa Hassan kote kulikuwa kwetu. Leo hii Mabeberu na Walowezi ndo wametamalaki. Inaumiza sana.
umekula maharage ya wapi? Maana siyo kwa kuvimbiwa huko.
 
Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi.

Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na watu wa daraja la chini. Mi naumia sana. Sisi tuna nyumba mitaa flani ndo tumebaki sisi tu baada ya kugoma kuuza. Akina Mzee Saidi Ngimba Matepwele ,akina Jamhuri Kitambinjaa, akina Mzee Amri Kidekule, akina Sheikh Ngunde, Sheikh Mtopelo , Sheikh Abdallah Tumbo na Kufakunoga. Walishauza maeneo yao sasa wanalia njaa tu hapa Mjini.

Nashauri tuanzishe movement yetu ya ZARAMO BACK TO DAR. ZB2D kule Mbezi, Oysterbay, Masaki, Mussa Hassan kote kulikuwa kwetu. Leo hii Mabeberu na Walowezi ndo wametamalaki. Inaumiza sana.
Dar ni multi ethnic city na itabaki hivyo milele
 
Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi.

Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na watu wa daraja la chini. Mi naumia sana. Sisi tuna nyumba mitaa flani ndo tumebaki sisi tu baada ya kugoma kuuza. Akina Mzee Saidi Ngimba Matepwele ,akina Jamhuri Kitambinjaa, akina Mzee Amri Kidekule, akina Sheikh Ngunde, Sheikh Mtopelo , Sheikh Abdallah Tumbo na Kufakunoga. Walishauza maeneo yao sasa wanalia njaa tu hapa Mjini.

Nashauri tuanzishe movement yetu ya ZARAMO BACK TO DAR. ZB2D kule Mbezi, Oysterbay, Masaki, Mussa Hassan kote kulikuwa kwetu. Leo hii Mabeberu na Walowezi ndo wametamalaki. Inaumiza sana.
Hawajafukuzwa mkuu wameuza na kila wanakohamia wanauza ukifika bei
 
sio kila mzaramo atakusapoti kwenye hili jambo.
Wandengereko nao wasemeje?
Wanyangalio waiiteje?
Wanyagatwa watakuonaje
Wakwere
Warufiji

Dar ni sehemu ya mkoa wa pwani mwisho, hivyo wekeza kwenye kusomesha na kuendeleza ukoo wako, sisi kina mbwela tunakupinga.
 
Mzee Mgodelo si alikuwa tabata? Akapauza akanunua banda msanga,sasa hivi anauza tena, anasema amepata kiwanja lugoba, kwenye ma karasha huko.
 
Ila wewe jamaa uwa nakufananisha na Chizi Maarifa kwenye uandishi wa nyuzi. Unaweza kuandika jambo kama linakuhusu wewe kumbe haupo upande huo.
Uandishi wenu kwenye kipigo cha KOBAZI wa kule ghaza na misimamo yao ya kidini huwa ni burudani tosha kabisa.
Chizi Maarifa ni jamaa yangu pacha wangu, sema tu yeye hana akili kama mimi. Mimi naishi USA chizi mpo naye huko Tz anaishi maisha yenu ya kubangaiza bangaiza na ujanja ujanja wa ki CCM.
 
Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi.

Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na watu wa daraja la chini. Mi naumia sana. Sisi tuna nyumba mitaa flani ndo tumebaki sisi tu baada ya kugoma kuuza. Akina Mzee Saidi Ngimba Matepwele ,akina Jamhuri Kitambinjaa, akina Mzee Amri Kidekule, akina Sheikh Ngunde, Sheikh Mtopelo , Sheikh Abdallah Tumbo na Kufakunoga. Walishauza maeneo yao sasa wanalia njaa tu hapa Mjini.

Nashauri tuanzishe movement yetu ya ZARAMO BACK TO DAR. ZB2D kule Mbezi, Oysterbay, Masaki, Mussa Hassan kote kulikuwa kwetu. Leo hii Mabeberu na Walowezi ndo wametamalaki. Inaumiza sana.
wazaramo hawafukuzwa,,tatizo wanauza maeneo kwa ajili ya kucheza watoto wao,mimi mwenyewe hapa nilinunua kiwanja mvuti kutoka kwa mzaramo mmj [milioni4],,,,,baada siku tatu nilipoenda kutembelea eneo langu,,,nilipigwa butwaa,,,,kulikuwa na ngoma,vyakula na mambo kibao!!!!!''''''[walioniuzia wapo jiratu tu eneo langu],,,,,,,unaambiwa sherehe ilifanyika kwa wiki nzima!!!
 
sio kila mzaramo atakusapoti kwenye hili jambo.
Wandengereko nao wasemeje?
Wanyangalio waiiteje?
Wanyagatwa watakuonaje
Wakwere
Warufiji

Dar ni sehemu ya mkoa wa pwani mwisho, hivyo wekeza kwenye kusomesha na kuendeleza ukoo wako, sisi kina mbwela tunakupinga.
Hao nao watajisemea. Mimi nazungumzia sisi wazaramo so wakwere kama wakitaka waje kujiunga nasi...
 
Back
Top Bottom