Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
- Thread starter
- #21
Ndo tulivyo hatuna hiyana na tunaishi kwa kupendana. Tunakula wote na ku enjoywazaramo hawafukuzwa,,tatizo wanauza maeneo kwa ajili ya kucheza watoto wao,mimi mwenyewe hapa nilinunua kiwanja mvuti kutoka kwa mzaramo mmj [milioni4],,,,,baada siku tatu nilipoenda kutembelea eneo langu,,,nilipigwa butwaa,,,,kulikuwa na ngoma,vyakula na mambo kibao!!!!!''''''[walioniuzia wapo jiratu tu eneo langu],,,,,,,unaambiwa sherehe ilifanyika kwa wiki nzima!!!