BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
SASA NI ZAMU YA LOS ANGELES. NI KESHO ALHAMISI, UZINDUZI WA PILI WA ROYAL TOUR.
Na Bwanku M Bwanku.
Baada ya Juzi Jumatatu Aprili 18, 2022 Rais Samia Suluhu Hassan kuusimamisha Ulimwengu wakati akiongoza Uzinduzi wa Filamu Maalum ya Watanzania ya Royal Tour Mahususi kwa ajili ya Kutangaza Utalii na Uwekezaji wa Tanzania Kimataifa pale New York, Marekani, sasa kesho Alhamisi Aprili 21, 2022 ni zamu ya Los Angeles. Ni historia nyingine inakwenda kuwekwa Los Angeles katika safari ya kuisimamisha Tanzania kwenye Anga za Kimataifa.
Baada ya Rais Samia kuwaongoza Watanzania kuzindua Filamu hii kwa mara ya kwanza toka kuandaliwa kwake pale New York, sasa macho na masikio yanahamia Los Angeles kwenye Uzinduzi wa Pili wa Filamu hii ya Royal Tour inavyokwenda kupaisha zaidi Sekta ya Utalii na Uwekezaji ili Taifa letu lipate Maendeleo makubwa zaidi. Ni kesho Alhamisi pale Los Angeles, Marekani.
#TunaImaninaRaisSamia
#TanzaniaRoyalTour
#KaziInaendelea
Bwanku M Bwanku.
Na Bwanku M Bwanku.
Baada ya Juzi Jumatatu Aprili 18, 2022 Rais Samia Suluhu Hassan kuusimamisha Ulimwengu wakati akiongoza Uzinduzi wa Filamu Maalum ya Watanzania ya Royal Tour Mahususi kwa ajili ya Kutangaza Utalii na Uwekezaji wa Tanzania Kimataifa pale New York, Marekani, sasa kesho Alhamisi Aprili 21, 2022 ni zamu ya Los Angeles. Ni historia nyingine inakwenda kuwekwa Los Angeles katika safari ya kuisimamisha Tanzania kwenye Anga za Kimataifa.
Baada ya Rais Samia kuwaongoza Watanzania kuzindua Filamu hii kwa mara ya kwanza toka kuandaliwa kwake pale New York, sasa macho na masikio yanahamia Los Angeles kwenye Uzinduzi wa Pili wa Filamu hii ya Royal Tour inavyokwenda kupaisha zaidi Sekta ya Utalii na Uwekezaji ili Taifa letu lipate Maendeleo makubwa zaidi. Ni kesho Alhamisi pale Los Angeles, Marekani.
#TunaImaninaRaisSamia
#TanzaniaRoyalTour
#KaziInaendelea
Bwanku M Bwanku.