Sasa ni zamu ya Los Angeles. Ni Alhamisi 21 Aprili, uzinduzi wa pili wa Royal Tour

Sasa ni zamu ya Los Angeles. Ni Alhamisi 21 Aprili, uzinduzi wa pili wa Royal Tour

SASA NI ZAMU YA LOS ANGELES. NI KESHO ALHAMISI, UZINDUZI WA PILI WA ROYAL TOUR.

Na Bwanku M Bwanku.

Baada ya Juzi Jumatatu Aprili 18, 2022 Rais Samia Suluhu Hassan kuusimamisha Ulimwengu wakati akiongoza Uzinduzi wa Filamu Maalum ya Watanzania ya Royal Tour Mahususi kwa ajili ya Kutangaza Utalii na Uwekezaji wa Tanzania Kimataifa pale New York, Marekani, sasa kesho Alhamisi Aprili 21, 2022 ni zamu ya Los Angeles. Ni historia nyingine inakwenda kuwekwa Los Angeles katika safari ya kuisimamisha Tanzania kwenye Anga za Kimataifa.

Baada ya Rais Samia kuwaongoza Watanzania kuzindua Filamu hii kwa mara ya kwanza toka kuandaliwa kwake pale New York, sasa macho na masikio yanahamia Los Angeles kwenye Uzinduzi wa Pili wa Filamu hii ya Royal Tour inavyokwenda kupaisha zaidi Sekta ya Utalii na Uwekezaji ili Taifa letu lipate Maendeleo makubwa zaidi. Ni kesho Alhamisi pale Los Angeles, Marekani.

#TunaImaninaRaisSamia
#TanzaniaRoyalTour
#KaziInaendelea

Bwanku M Bwanku.

View attachment 2193798
Mbuga zipo Tanzania uzinduzi unafanyikia Marekani?
 
Hivi lini hiyo dunia itasimama?😂😂
 
Nachojua kifo Cha Magufuli n mpango wa binadamu

KUFA kufaana ila.inapendeza Mwenyezi Mungu akuite kwa mapenz yake na si ya binadamu mwenzio

Uzuri hakuna aliyeishi milele

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni aibu kwa mwanamme kudanga kwa mgongo wa Mama
 
Nawewe kazindue yako ila mm naona yupo sawa maana kilamtu anawasifia rwanda nakuwabeza tz sasa wamefanya jambo kelele marehemu hakusafiri kelele je sisi tusiyo juwa mtatubeba vipi autupate mtu anae ishi ulaya kama lisu kimambi hatujuwi kuweni wawazi kama ccm ukipata tumia ukikosa jutia kuliko kuwa wanafiki.
 
Huyu kikongwe mvaa ushungi anazidi kuchanja mbuga.

Hatulii akakaa kwenye mji wake anapapatika kwenye nchi za watu kama sungura-tope.

Ati Royal Tour? Ujinga mtupu!
Anazurura kwenye nchi ya watu, jambo la kushangaza mwenye nchi wala hana habari nae.😅

Dharau kubwa sana hii.
 
Wizi mtupu hamna jipya apo
Mimi ni mfuasi mkubwa sana wa SSH na namkubali sana ila kwa upuuzi na ujinga wa namna hii ndo unasababisha watu tunamkumbuka Jiwe(mungu mtu).
Uzinduzi gan uwo wa sehemu tano kote mnazindua nn
 
Anazurura kwenye nchi ya watu, jambo la kushangaza mwenye nchi wala hana habari nae.😅

Tharau kubwa sana hii.
Mwenye nchi yuko bize anajenga nchi yake!

Hangaya is invisible there. Ni kama sisimizi asiye na potential.
 
Back
Top Bottom