Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Jamaa kaamua kuwa zaidi ya kina Joti kwa kuchekesha.Nimesoma nikaishia hapo "west wanalalamika russia kutumia silaha za zamani" nimechek sana.
Wanalalamika au ndio wanafurahi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kaamua kuwa zaidi ya kina Joti kwa kuchekesha.Nimesoma nikaishia hapo "west wanalalamika russia kutumia silaha za zamani" nimechek sana.
Wanalalamika au ndio wanafurahi?
[emoji3][emoji3] punguza kidogo kahawa.Keep dreaming, this guy has never lost a war
Vice versa is turuuPro Russia ni kama waliokuwa wafuasi wa Kibwetere kule Uganda.Yani hata kama jambo lipo wazi kabisa utawaona wanaruka ruka na vijisababu vya uwongo na kweli ili mradi tu wakanushe kitu kilicho wazi.
ngoja tuonePorojo za gengeni kwa Mama Kimbo hizi
ngoja tuoneMzee kajipanga kabla hajaingia kwenye hii OP
Urusi lazima aonjeshwe joto ya jiwe.
Acha wafu wazikaneUshabiki kwenye roho za wafu👎🏿
Mimi nimesema warusi ndio wapelekewe pumzi ya moto.Lani wanaoishi huko si waUkraine ambao Ukraine anasema ni watu wake, sasa anataka kuwaua au?