Sasa nimeelewa kwanini huduma ya taarifa za pesa kuingia au kutolewa kwe bank account imeondolewa

Sasa nimeelewa kwanini huduma ya taarifa za pesa kuingia au kutolewa kwe bank account imeondolewa

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Ile huduma imetolewa huenda sababu ikawa makato na tozo za wizi kwenye account zetu yaani ukichukua bank statement ndio utajua serikali hii imeamua kuchukua pesa za wananchi kwenye account zao isivyo halali

Ili kuficha hilo waibe kiwepesi wameamua kuondoa huduma ile haipo sasa, hivyo kwa sasa pesa ikiingia hupati sms na wala ikitoka pia hupati sms yani kwa sasa hakuna huduma hiyo huu ni wizi wa wazi kabisa alio kuja nao mwigulu nchemba
 
Ile huduma imetolewa huenda sababu ikawa makato na tozo za wizi kwenye account zetu yaani ukichukua bank statement ndio utajua serikali hii imeamua kuchukua pesa za wananchi kwenye account zao isivyo halali...
Fafanua ndugu,

Hoja Yako isipoeleweka vizuri yawezasababisha watu wakimbilie kwenye mabenki Kutoa pesa zao zote Kwa account na kusababisha Uchumi kusimama🙃🙃🙃
 
Fafanua ndugu,

Hoja Yako isipoeleweka vizuri yawezasababisha watu wakimbilie kwenye mabenki Kutoa pesa zao zote Kwa account na kusababisha Uchumi kusimama🙃🙃🙃
Kwani wewe upo nchi gani ?
 
Ile huduma imetolewa huenda sababu ikawa makato na tozo za wizi kwenye account zetu yaani ukichukua bank statement ndio utajua serikali hii imeamua kuchukua pesa za wananchi kwenye account zao isivyo halali

Ili kuficha hilo waibe kiwepesi wameamua kuondoa huduma ile haipo sasa, hivyo kwa sasa pesa ikiingia hupati sms na wala ikitoka pia hupati sms yani kwa sasa hakuna huduma hiyo huu ni wizi wa wazi kabisa alio kuja nao mwigulu nchemba
sio mwigulu tu jopo lote la wabunge wa ccm ndo waliotufikisha huko hivyo 2025 tuseme tu imetosha kwa wabunge hao.wale walizotutoza.tupige kura ya kuwaondoa majimboni wabaki kijiweni nao waone ugumu wa maisha.akina zungu walishabikia sana tozo pale bungeni mpaka wengine tukamshangaa kweli huyu ni mbunge wa wananchi?anawawakilisha wananchi kweli?nitashangaa sana wana ilala kama watamrudisha huyu mtu.
 
Back
Top Bottom