Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Mlango wa bwawa upo kati ya Mkoa wa Pwani na Morogoro, Lakini mawanda ya bwawa Kwa asilimia kubwa yatakuwa kwenye Jimbo la Liwale.
Kwani serikali ikisema hivyo watapungukiwa nini?
Kwani serikali ikisema hivyo watapungukiwa nini?